Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli mbiu ni ile ile, hawara hana talaka...Halafu mwisho wa siku mnakuja kulalamika hapa kuwa wanawake wasaliti..safi
Hata hatukuachana kwa kutamkiana..ila distance ikatufanya tukapunguza mawasiliano hadi kila mtu akaendelea na maisha yake mengine..ila eti siku hizi ndo anajutia kosa lake.ila ameshachelewa sana may b alijua atazunguka weee mwisho atanikuta nipo tu tuendeleeAmeeen...
Alikuacha au ulimuacha??
Kama yanatoka moyoni Haya maneno basi Mungu akutie nguvu ukafanikiwe katika mahitaji yakoAisee, whomever i dated u, i dont hate u. Nakuombea sana mafanikio. Hate ni kwa loosers. Usipungukiwe kinamna yoyote ile. Moyo wako ukajazwe na amani. Furaha na upendo visikosekane maishani mwako. Ndoto zako zikatimie. Furaha yangu ni kuona umafanikiwa kila lililo hitaji la moyo wako. I dont hold u. Nimekusamehe kivyovyote vile. Enjoy every moment of ur life
Nilkuwa na Moyo lonyalonya Sana nashukuru Mungu aliniletea mwalimu wa topic zoteMaskini inaelekea alikutesa sana.pole
Sijui ndiyo limbwata au akili za utoto zilikuwa zinamsumbua nilishtukia uzito wa kwenye chai siyo wa kawaida.Kwahiyo alikulisha limbwata bwana mzee
Watu hua hawaachani vizuriInaelekea mliachana vizuri nyie..safi
Sina muda huo hata rafiki yangu. Ubaya ubayani tu.Kwahiyo unamuombea akutane na mvua ya majabali sio
Anajutia nini sasa mwambie aende alikopeleka mboga😁Hata hatukuachana kwa kutamkiana..ila distance ikatufanya tukapunguza mawasiliano hadi kila mtu akaendelea na maisha yake mengine..ila eti siku hizi ndo anajutia kosa lake.ila ameshachelewa sana may b alijua atazunguka weee mwisho atanikuta nipo tu tuendelee
Baada ya kuona nimeolewa anakuja kwa kasi ya ajabu analia lia..anasema mimi ndo nilikuwa mkewe. MUNGU amjalie mke mwema na amzidishie fedha zaidi
Shauri zako anakuchora humu kwa ID yake ya JF tu utashangaa unapoteza kibarua ghafla.Mkuu kuna Prof. aligombea ubunge mwaka jana me nilimsindikiza kwa sangoma.
Kama prof msomi anaamini uchawi me ni nani nisiamini.
Makundi ya baadhi ya wanawake yasiyonahofu ya Mungu yanaharibu sana wanawake wengine.usikute labda ni maushauri huko alipewaSijui ndiyo limbwata au akili za utoto zilikuwa zinamsumbua nilishtukia uzito wa kwenye chai siyo wa kawaida.