Ex wangu anajiuza nimejaribu kujifanya mteja alipogundua kaanza kunilaumu kuwa mimi ndio sababu

Malaya wazoefu wamekutana
 
Ni zaidi ya 40 Million...
Boutique: location Zanzibar ndani ya hotel yenye minimum capacity 200 Pax (low season) na 700 pax (high season) .. Ipo siku Mwenyewe atakuja na ushuhuda wake maana anaufuatilia huu uzi vzr tu..
Shukran 🙏
 
Asante kwa story yako mkuu

Ila mimi ombi langu ni moja tu naomba uniPM namba ya huyo agent nataka nicheki pisi zake niruke nayo moja JUMAPILI ya leo
 
Habari zenu wakuu.

Ikumbukwe mwaka 2018 nilikuja kutoa vigezo humu vya kutaka mwenza Mke wa kuoa anahitajika

Nashukuru sana maombi yalikuwa mengi na mchujo ukapia nikawapata warembo 3 ambao pasi ya wao kujuana niliiishi nao
Yamepita mkuu..focus kwa mkeo sasa mjenge familia
Btw nkopeshe hata laki name mtaji na mieee [emoji134][emoji134]
 
Kwa nini huwa hampendi kusikia kuwa mtu ana amani kwenye ndoa yake? Maisha ni vile wewe mwenyewe umeamua kuishi
 
Hii itakuwa kiki, unatafuta michepuko kijanja
 
Watu wanaotafua wake wa kuoa mitandaoni sijawahi kuwaelewa kabisa, mtu mwenye kipato cha uhakika unakosaje mwanamke unayemtaka mwenye vigezo karibu na mazingira yako?

Mfano sehemu unapofanya biashara, chuo, kazini na mtaani kwenu unapoishi? Ina maana wanawake wameadimika kiasi hicho? Mbona mimi nakutana nao wengi huku tena kila sehemu na hata kwenye daladala unaweza kuomba namba na anakupa binti safi kabisa. Achana na hapo hivi wakati unasoma secondary school ulishindwa vipi kupata soulmate mnaejuana kiundani zaidi na mpaka mkaoana?

Sababu it doesn't make anysense mtu wa kuishi naye milele umkose kote huko mpaka kwenda kumtafuta kwa vigezo mitandaoni kama gari au simu, it's sounds bizarre and eccentric to me.

Najua sio lazima kuamini hii story lakini siamini.
 
Hili povu linawalakini aisee
 
Utoto raha sana. Ukija kua ukaja soma huu uzi wako utajicheka sana. Kwa sasa unakuwa na ndoto nyevu nyingi unakuja mpaka ziandika hapa. Subiri ukue na shemeji yako akwambie sasa ukajitegemee ndo utajiona ulivyokuwa bwege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…