Ex wangu ananiwekea vijembe status

😂😂 ndo walivyo ukifuta au ukiblock anakupigia simu anakuuliza kwann umeniblock ndo unipendi tena
Huyu alinitafuta mwaka mpya baada ya kumchukua block takriban miezi 4 akanicheki nomo call
 
Sasa una view za nini.
We ni sawa na fisi tu, iko sku utakula mzoga
 
we mmeachana namba ya x ya kazi gani? Au unamtaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…