Usishuhudie uongo maadam umesema mwenyewe kuwa huwa napita ktk status yake, tafuta uongo mwingine bwasheeπ€£Nishafanya hivyo
BlockHata nikifuta namba yeye hafuti unakuta anakutafuta unamuuliza nani haoni tabu kujitambulisha
Mimi nadhani amehide wote kaniacha niview mimiππKwahiyo sisi wenye Maex ambao kwanza hawawekagi status, afu kuna sisi ambao tunaweka kwa nadra. Tukiweka hizo za kuandika ni kuna team la EPL au UEFA tunalikandia.
Jamani sisi ni wazee au
Mbona kama huyo ex wifi etu anazingua
Hivi hizo makiti ni makitu za kuweka status kweli? X bla x bla, na mama zake wanapita kuview? Au ndio wale wasiojiamini mpk wanachagua nani aone, wengine hawaoni
Last seen her status ilikuwa saa ngapi leo hii?Tumefikia makubaliano hayo Leo saa 6:48 pm
DuhMimi nadhani amehide wote kaniacha niview mimiππ
Saa kumi na Moja. The rest tumetumia huo mda kuzozana baada ya kumchana aache mambo ya kitoto na show off za kidwanziπ akadai namfatilia nikamwambia unaweka status unataka tusiview? Unamfaidisha naniπ€£ kipigo kilivomielemea akakimbilia eti ni mblock Kama awali ππ kwann nimemtoa kwenye block mwisho tukakubaliana kufuta namba za Kila mmojaLast seen her status ilikuwa saa ngapi leo hii?
YanHajamsahau na hawezi kumsahau, ask me why π
Mbona povu? Au ndo wewe? Ex wanguWashamba hawaishi sasa nani anateseka ww au yeye? ππππ Unaangalia status zake za nini kwanza. Ushapiga chini namba zake unakaa nazo ili iweje? Haya anakupiga vijembe unataka sisi tukusaidieje vijana mkue sasa kuna mambo sio ya kuleta mtandaoni ni ushamba tu
kabisa, ni ushambaSipendi huo uswahili kuchambana chambana whatsapp, kama una lako mtumie muhusika, ni ushamba huo
Na wewe kwanini ulim intertain?Kwanini anitafuteπ€
Mbona povu? Au ndo wewe? Ex wangu