Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sasa kwanini unajali ya status na uhisi kuwa anakusema wewe?Sidhani kama nampenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini unajali ya status na uhisi kuwa anakusema wewe?Sidhani kama nampenda
usifanye hivyoWacha nimrushie jumba bovu
usifeli ndugu FUTA kwanza icho kitu kinaitwa X
sasa si ufute namba yake, au blockAmekua akifanya hivyo mara kibao ni mtu wa hivyo. Ni utoto na wivu na chuki vinamsumbua ova
tupe namba zake tuone ulipokuwa unakojolea pakoje😅😅Mimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe😀😀 but I can't go back
Futa namba yake vinginevyo una mipango nae. Muache na utoto na wivu wake na anafanya yote hayo kwa targetAmekua akifanya hivyo mara kibao ni mtu wa hivyo. Ni utoto na wivu na chuki vinamsumbua ova
Una muda wa kuzipitia, kama hakuna kurudi nyuma, bado huelekei kama unaendelea mbele.Mimi sijui kama anawasema wengine ila Kwa situation iliyotokea kati Yake na mimi najua tu this is all about me
Nachukiwa vibaya mno
Chanzo ilikua tunadate ila ikaja tukapoteana tulikua tunaonana Kwa season maana alikua chuo baada ya muda kaja kusikia nimezaa na pisi ingine niliamua kumwambia tu ukweli maana kumdanganya it's like I deny my kid kitu ambacho si kizuri and toka apo ni ugomvi usio Isha mpaka tukaachana, najua ananikubali tu pamoja na yote na anateseka uko aliko.
Mm namwombea apate tu ka kijana kampende vizuri aache kutanga tanga anenepe[emoji3][emoji3] but I can't go back
Mbususu ziko mingi lakini zinatofautiana 😅Mm mbususu ziko mingi😀 hata hainistui
Ila mabint wa siku hizi ni hovyo kabisa. Kuna dem hapa mtaani yaani status zake mpka unajiuliza mzazi wake hazioni au inakuwaje? Kwasababu zinaibisha mpaka familia yenyewCheck your pm
Bora wewe useme, inaonekana bado anampendasasa si ufute namba yake, au block
ukiwa na wazo la X hakika hutowahi miliki makoloni,pia jikite kusaka pesa tembeza mikwaju ,usiangalie nyuma nani anaingia lakini ukibahini Kwa bahati mbaya mfanye amna pasipo kuliharibu koloniTunapasha kiporo?
Na huyu bwana Santos06 kaja kuleta huu uzi huku kujifariji tu 😃Hajamsahau na hawezi kumsahau, ask me why 😄
Anataka ashuhudie anguko la ex shangaziKwanini nawe una kiherehere cha kusave?