Ex wangu anataka niende kwenye harusi yake

Ex wangu anataka niende kwenye harusi yake

Carasco Putin

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2022
Posts
10,644
Reaction score
32,375
Hii wiki mbaya kwangu
Naandika hapa x wa mama mkwe wangu kaninyima chakula🥺
Tuachane na hayo
Huyu X wangu Eliza mchaga wa rombo macho kama anakula kungu shingo mithili ya twiga wa nyalandu shape kama bajaji mapenzi hajui ila anajua kupenda na kutoa hela tatizo la kuachana naye baba yake hapendi niwe nalala kwao na Eliza eti kisa sijamuoa
Sasa eliza anaolewa ila anataka kuendelea na mm nipeni ushauri nifanyaje hapo niachane na eliza mazima

YANGA BINGWA
IMG_20240817_122354.jpg
 
Huyu demu atakuwa na Pepo la ngono kitaalamu mwanamke hatakiwi kutamani mapenzi bila kuwa na utaratibu na ikitokea kama hivi tambua huyu mwanamke ni pepo mchafu kiufupi awezi kuondoa hicho kitu kichwani mwake, ushauri wangu acha kuendeleza mahusiano ambayo tayari yalikwisha hii ni kwa usalama wako pamoja na familia yako.

Tambua kuna magonjwa na pia jaribu kuvaa viatu vya huyo kiumbe mwenzako vipi ungekuwa wewe una megewa ungejisikiaje?

Kijana smart hafanyi mambo haya ya kuharibu mahusiano ya watu acha maisha yaendelee kwani zama zenu zilikwisha.

Ukipuuzia we mshenzi ukija kwenye harusi yangu kwa nia ya kuonana na mke wangu nitakutoa pumb* live bila chenga 😂😂😂
 
Huyu demu atakuwa na Pepo la ngono kitaalamu mwanamke hatakiwi kutamani mapenzi bila kuwa na utaratibu na ikitokea kama hivi tambua huyu mwanamke ni pepo mchafu kiufupi awezi kuondoa hicho kitu kichwani mwake, ushauri wangu acha kuendeleza mahusiano ambayo tayari yalikwisha hii ni kwa usalama wako pamoja na familia yako.

Tambua kuna magonjwa na pia jaribu kuvaa viatu vya huyo kiumbe mwenzako vipi ungekuwa wewe una megewa ungejisikiaje?

Kijana smart hafanyi mambo haya ya kuharibu mahusiano ya watu acha maisha yaendelee kwani zama zenu zilikwisha.

Ukipuuzia we mshenzi ukija kwenye harusi yangu kwa nia ya kuonana na mke wangu nitakutoa pumb* live bila chenga 😂😂😂
Duhhh
 
Back
Top Bottom