Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #101
Sema Tu umekaushwa wap boss😂😂😂Nasoma comments.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema Tu umekaushwa wap boss😂😂😂Nasoma comments.
Alikukausha damu auAisee kuna namna siwezi kumsahau yule jamaa.... nikisema anajua namaanisha anajua kweli yani😋😋😋..... ila ndo hivyo ex harudiwi😃😃
Aliniweza sio siri😉😉Alikukausha damu au
We acha tu ndugu yangu.kwahiyo haujaenda ziwani?
atakudaka uwe msukule shauriako
Dah kwangu mimi niliyeanza nae ndo mpaka now tuko wote radha ya ex hata sijui ikoje labda wale wa sekondari tuliokuwa tunadanganyana nao sidhani kama naweza kuwakumbuka kwa lolote coz ilikuwa ni ile ya kuitana tu babe nothing else
Anifa siumii wewe kuniacha ila nakushangaa mwanamke kuwa unalamba NIDO yangu kama litoto la nyoka .
sasa embu niambie basi wewe mpenzi msomaji
ukimkumbuka ex wako unakumbuka nini?
kizuri au kibaya!
Pole boss ila ndio amekufanya uwe ngangaruAliniweza sio siri😉😉
Ukerewe oyeee😂😂😂We acha tu ndugu yangu.
SauwaDah kwangu mimi niliyeanza nae ndo mpaka now tuko wote radha ya ex hata sijui ikoje labda wale wa sekondari tuliokuwa tunadanganyana nao sidhani kama naweza kuwakumbuka kwa lolote coz ilikuwa ni ile ya kuitana tu babe nothing else
Nawasilisha mkuu
Aje?!Aliniacha kiboya Sana😥
Ndio ex amekuvuruga mpaka unaongea mwenyewe.Anifa siumii wewe kuniacha ila nakushangaa mwanamke kuwa unalamba NIDO yangu kama litoto la nyoka .
Nasikia sasa uko na Juma mchopeko najua hata uwezo wa kununia NiDO hana hivyo hata siumii.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
AsanteSauwa
Hongera
Cheka uongeze maishaMaake kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣