Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
kumbe ex ana xKaniaga anaenda kusalimia kwao kumbe kaenda kwa x wake
nipe jina lake nimempenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ex ana xKaniaga anaenda kusalimia kwao kumbe kaenda kwa x wake
na unazipenda umekufa fastaa!Nyuzi za huyu dada bana!
Leta maneno sasa amekufanyaje tujue jinsi ya kukusaidia huenda tukakupa njia za wewe kumfanyia jambo pia asikusahau
sasa embu niambie basi wewe mpenzi msomaji
ukimkumbuka ex wako unakumbuka nini?
kizuri au kibaya!
kwahiyo haujaenda ziwani?Alikua mkerewe tukakosana nikampiga sana, Akanambia nisije wai kanyaga karibu na ziwa, wala kuogelea kokote, nyie acheni mabinti wa kikerewe wana mikwara.
nime comment page ya kwanza kasomeLeta maneno sasa amekufanyaje tujue jinsi ya kukusaidia huenda tukakupa njia za wewe kumfanyia jambo pia asikusahau
Na ntu anaetambua mbwa basi na yeye ni dogi tu. Hivyo nimekuelewa mbwa mwenzetuNtu anayechumbia umbwa na yeye ni umbwa tu ujue 😂
Jesus!Na ntu anaetambua mbwa basi na yeye ni dogi tu. Hivyo nimekuelewa mbwa mwenzetu
tatizo kumsemesha ex siyo jadi yangu
Conning strategy ?Sijawahi kuwa na ex lakini
KHA!Jitahidi uondoe hilo tatizo waweza pata fursa ya kupasha kiporo kalala na kuamkia kwa Putin huko Urusi
ha?Conning strategy ?
Hongera kama hukuwah kua na x mi nilipiga chini kunikaidisha akaolewa fasta sasa hv ana maisha magumu sananime comment page ya kwanza kasome
jamaan poleHongera kama hukuwah kua na x mi nilipiga chini kunikaidisha akaolewa fasta sasa hv ana maisha magumu sana
Mschana hadi afike kuitwa mwanamke, list huwa inatisha wengine hufikia x 200Mbona mnazungumzia Ex kama vile ni mmoja [emoji276]nje ya mada Mwanamke ambaye ana ex kuanzia 10 anafaa kweli kuwa mke [emoji276]?
Mtafute uwe unajipakulia tuAlinipa namba ya baba yake kijijini. Sikuwahi kuipiga maana sio ustaarabu ikiwa sijatambulishwa ukweni rasmi.
Siku hiyo akaaga kwenda kumuona baba yake kijijini maana anaumwa, nikamfungashia vya kumfungashia na pesa juu.
Baada ya wiki ya kutopatikana baada ya safari nakuja kuona kwenye status ile namba ya baba yake imewekwa picha za harusi na demu wangu ndio bibi harusi.
Kupiga ile namba akapokea njemba kaanza na shikamoo mjomba kubwa sana. Jamaa katoa shukrani nyingi kwa mchango wangu kwenye harusi yake na 'mpwa wangu'. Demu alinisevu na kutambulisha kama mjomba kwa jamaa yake.
Sijamuona tena mbwa yule mpaka leo.
duMtafute uwe unajipakulia tu
hii ni nidhamu ya wogaMschana hadi afike kuitwa mwanamke, list huwa inatisha wengine hufikia x 200
Hilo gari la wanaume unalipeleka wapi mzee wanguMbona mnazungumzia Ex kama vile ni mmoja [emoji276]nje ya mada Mwanamke ambaye ana ex kuanzia 10 anafaa kweli kuwa mke [emoji276]?
Mpumbavu pekee ndy anaweza kudili na yalopita bnafsi kuna mda nkikumbuka ushenzi nilofanya uwa najichukia " u can't change what happened but u can stop from happening again"Mbona mnazungumzia Ex kama vile ni mmoja [emoji276]nje ya mada Mwanamke ambaye ana ex kuanzia 10 anafaa kweli kuwa mke [emoji276]?
Tukutane kona yetu
sasa embu niambie basi wewe mpenzi msomaji
ukimkumbuka ex wako unakumbuka nini?
kizuri au kibaya!