Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaUpapa tu, yule mwanamke alikuwa na pussy bomba sana, alitesa sana
kabisaUsije ingia kwenye mtumbwi wa vibwego au vipi bhana
Sijawahi kuwa na ex lakiniUnakusanya data upeleke wapi ?
Mbona ulichofanywa hujasema.
Ex alikuumizia wap?kabisa
Mi kiukweli sitaki hata kukumbuka hata lile zuri lake Moja 🤨Yeyote boss
Nachokumbuka ni maamuzi ya kumuacha yalikua ni ya busara sana.alichokufanyia je hukumbuki?1
Mjinga yule anasubutuje kunichit na wakati penzi letu bado jipya na bado hajanipa mbususu shenzi kabisa mbwa ileEx alikuumizia wap?
hahahahhaNachokumbuka ni maamuzi ya kumuacha yalikua ni ya busara sana.
hahahahaha, pole bossMjinga yule anasutuje kunichit na wakati penzi letu bado jipya na bado hajanipa mbususu shenzi kabisa mbwa ile
Ilikuwaje ukachumbia mbwa ilhali we ni ntu?Sijamuona tena mbwa yule mpaka leo
hahahahahahaMi kiukweli sitaki hata kukumbuka hata lile zuri lake Moja 🤨
ex oyeeeeeeeeeee, hahahahahaIlikuwaje ukachumbia mbwa ilhali we ni ntu?
Bora kuchapwa cute.... wanted to kill me☹️hahahahahaha
kakuchapa wap jamaan, [pole
ahahahaha uuuwiAmbao hamjawahi kupigwa vibuti na wapenzi wenu someni comments tu za wahanga
ukafika wap na maandalizi ya kuua?! hahahaBora kuchapwa cute.... wanted to kill me☹️
Ningemuuliza kwanini alighairi lakini tatizo kumsemesha ex siyo jadi yanguukafika wap na maandalizi ya kuua?! hahaha
HAHAHAHAHHA POLE BOSSAlinipa namba ya baba yake kijijini. Sikuwahi kuipiga maana sio ustaarabu ikiwa sijatambulishwa ukweni rasmi.
Siku hiyo akaaga kwenda kumuona baba yake kijijini maana anaumwa, nikamfungashia vya kumfungashia na pesa juu.
Baada ya wiki ya kutopatikana baada ya safari nakuja kuona kwenye status ile namba ya baba yake imewekwa picha za harusi na demu wangu ndio bibi harusi.
Kupiga ile namba akapokea njemba kaanza na shikamoo mjomba kubwa sana. Jamaa katoa shukrani nyingi kwa mchango wangu kwenye harusi yake na 'mpwa wangu'. Demu alinisevu na kutambulisha kama mjomba kwa jamaa yake.
Sijamuona tena mbwa yule mpaka leo.