EXCLUSIVE: Download Rasimu ya Kwanza ya Katiba Mpya hapa na toa maoni

EXCLUSIVE: Download Rasimu ya Kwanza ya Katiba Mpya hapa na toa maoni

...Nimepitia rasimu ya katiba mpya na moja ya mambo niliyopenda kuona yakiwemo ni hili la uwepo wa serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ, serikali ya TZ bara na serikali ya Zanzibar...Hili ni jambo jema ambalo limepigiwa kelele mno na wadau na hakika litasaidia sana kupunguza kero nyingi zilizokuwemo kwenye muungano....pamoja na kutoa uhuru kwa pande mbili za muungano kujiamulia mambo yao... ilimradi tu hawavunji katiba kuu ya muungano.


......Katika muundo huu wa serikali tatu nimeona itawawia wenzetu wa Zanzibar rahisi sana kuunda serikali, bunge na katiba yao....Infact tayari vyombo hivi wanavyo kule kwao...maana tayari wana baraza lao la wawakilishi...pia wana katiba yao (waliyotopitisha kwa referendum)...na pia wana muundo wao wa serikali ya mapinduzi ya zenj....


....Hoja yangu hapa ni jinsi gani vyombo hivi vitaundwa huku TZ bara?....yaani ni wakati gani na mechanism gani itatumika kuunda katiba, bunge na serikali ya TZ bara?.......maana kwa TZ bara vyombo hivi vitakua vipya kabisa na sioni time frame na mechanism ya kufanya haya mambo ndani ya rasimu ya katiba iliyotolewa.....au kama ipo please wenye nayo watuwekee hapa...

.....Nasema haya nikinukuu vifungu vifuatavyo kwenye rasimu hii mpya:

Ibara ya 8 (1) inasema hivi: "Bila kuathiri masharti ya katiba za washirika wa muungano, katiba hii itakua sheria kuu katika Jamhuri ya muungano".....pia

Ibara ya 57 (3) inasema hivi: " Muundo, madaraka, na mambo mengine ya kiutendaji yahusuyo serikali ya TZ bara na Zanzibar yataainishwa katika katiba za washirika wa muungano".
 
...Nimepitia rasimu ya katiba mpya na moja ya mambo niliyopenda kuona yakiwemo ni hili la uwepo wa serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ, serikali ya TZ bara na serikali ya Zanzibar...Hili ni jambo jema ambalo limepigiwa kelele mno na wadau na hakika litasaidia sana kupunguza kero nyingi zilizokuwemo kwenye muungano....pamoja na kutoa uhuru kwa pande mbili za muungano kujiamulia mambo yao... ilimradi tu hawavunji katiba kuu ya muungano.


......Katika muundo huu wa serikali tatu nimeona itawawia wenzetu wa Zanzibar rahisi sana kuunda serikali, bunge na katiba yao....Infact tayari vyombo hivi wanavyo kule kwao...maana tayari wana baraza lao la wawakilishi...pia wana katiba yao (waliyotopitisha kwa referendum)...na pia wana muundo wao wa serikali ya mapinduzi ya zenj....


....Hoja yangu hapa ni jinsi gani vyombo hivi vitaundwa huku TZ bara?....yaani ni wakati gani na mechanism gani itatumika kuunda katiba, bunge na serikali ya TZ bara?.......maana kwa TZ bara vyombo hivi vitakua vipya kabisa na sioni time frame na mechanism ya kufanya haya mambo ndani ya rasimu ya katiba iliyotolewa.....au kama ipo please wenye nayo watuwekee hapa...

.....Nasema haya nikinukuu vifungu vifuatavyo kwenye rasimu hii mpya:

Ibara ya 8 (1) inasema hivi: "Bila kuathiri masharti ya katiba za washirika wa muungano, katiba hii itakua sheria kuu katika Jamhuri ya muungano".....pia

Ibara ya 57 (3) inasema hivi: " Muundo, madaraka, na mambo mengine ya kiutendaji yahusuyo serikali ya TZ bara na Zanzibar yataainishwa katika katiba za washirika wa muungano".
 
Tulisha jikwaa zamani sana,na hapa ndipo tulipoangukia,leo tukibadili jina kutoka tanzania kwenda tanganyika itabidi tuunde baraza/tume/kamati kuzunguka dunia nzima kujitambulisha na kuomba maelfu ya document zilizoko umoja wa mataifa na jumuiya nyingine za kimataifa kupoteza muda wao kurekebisha/kubadili jina hilo,kampuni na taasisi za ndani pia zitajikuta kwenye mkanganyiko wa utambulisho wao

kifupi tatizo si kubadili jina,ila ni utayari wa kukabiliana na athari za mabadiliko hayo.
 
Hebu nisaidie Mmassy mbona nikijaribu kudownload hii rasimu katika simu yangu inakataa, naomba msaada tafadhali
 
Tulisha jikwaa zamani sana,na hapa ndipo tulipoangukia,leo tukibadili jina kutoka tanzania kwenda tanganyika itabidi tuunde baraza/tume/kamati kuzunguka dunia nzima kujitambulisha na kuomba maelfu ya document zilizoko umoja wa mataifa na jumuiya nyingine za kimataifa kupoteza muda wao kurekebisha/kubadili jina hilo,kampuni na taasisi za ndani pia zitajikuta kwenye mkanganyiko wa utambulisho wao,kifupi tatizo si kubadili jina,ila ni utayari wa kukabiliana na athari za mabadiliko hayo.

Msingi wa nci yetu ni jina Tanganyika.Hivyo yatupasa turudi huko ,tujue msingi wetu ndio mengine yafuate.Nje ya Muungano kuna Tanganyika na Zanzibar.Na si vinginevyo.Kama tunaamua iitwe Tanzania Bara, then Zanzibar iitwe Tanzania visiwani ,kwa maana ndio wanaotengeneza jina Tanzania.
 
jamani eee hawa vijana wetu waliolipia gharama za kufanya mtihani tena halafu matokeo yametoka wamefaulu mbona wananyimwa haki yao ya msingi,eti wenye vituo wanagoma kuwarudishia fedha zao,kama wasomi wenzangu ,hili swala mnalionaje?
 
twataizya sana.hata ss akina pangu pakavu tia tunafaidika na hii post
 
...Nimepitia rasimu ya katiba mpya na moja ya mambo niliyopenda kuona yakiwemo ni hili la uwepo wa serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ, serikali ya TZ bara na serikali ya Zanzibar...Hili ni jambo jema ambalo limepigiwa kelele mno na wadau na hakika litasaidia sana kupunguza kero nyingi zilizokuwemo kwenye muungano....pamoja na kutoa uhuru kwa pande mbili za muungano kujiamulia mambo yao... ilimradi tu hawavunji katiba kuu ya muungano.


......Katika muundo huu wa serikali tatu nimeona itawawia wenzetu wa Zanzibar rahisi sana kuunda serikali, bunge na katiba yao....Infact tayari vyombo hivi wanavyo kule kwao...maana tayari wana baraza lao la wawakilishi...pia wana katiba yao (waliyotopitisha kwa referendum)...na pia wana muundo wao wa serikali ya mapinduzi ya zenj....


....Hoja yangu hapa ni jinsi gani vyombo hivi vitaundwa huku TZ bara?....yaani ni wakati gani na mechanism gani itatumika kuunda katiba, bunge na serikali ya TZ bara?.......maana kwa TZ bara vyombo hivi vitakua vipya kabisa na sioni time frame na mechanism ya kufanya haya mambo ndani ya rasimu ya katiba iliyotolewa.....au kama ipo please wenye nayo watuwekee hapa...

.....Nasema haya nikinukuu vifungu vifuatavyo kwenye rasimu hii mpya:

Ibara ya 8 (1) inasema hivi: "Bila kuathiri masharti ya katiba za washirika wa muungano, katiba hii itakua sheria kuu katika Jamhuri ya muungano".....pia

Ibara ya 57 (3) inasema hivi: " Muundo, madaraka, na mambo mengine ya kiutendaji yahusuyo serikali ya TZ bara na Zanzibar yataainishwa katika katiba za washirika wa muungano".

Good observation mkuu, nadhani safari yoyote lazima iwe na mwanzo hivyo pamoja na kwamba hii issue itakuwa na changamoto kwa upande wa bara lakini bado kwa kuitumia katiba hii mpya kama itapita itakuwa ndio mwanzo wetu wa kuweka hivi vyombo kwa upande wa bara, pia tutatumia katiba ya Tanganyika kabla ya muungano kujaribu kuangalia mambo mawili matatu (just kama reference ili kuweza kujua tulipotoka, tulipo na tunaplotaka kwenda)
 
Nimeipitia rasimu ya katiba by skimming, kwa maoni yangu kuna sehemu ambazo zinaonyesha dhahiri kulikuwepo na mianya ya kutowajibika, kwa mfano spika na naibu wako kuwa wanachama watiifu wa serikali yao. Kuikosoa kwao ni dhambi na baada ya kikao utajadiliwa kwa nini hukuunga mkono hoja, iliwahi kutokea kwa mbunge wa nkasi kuzongwa na wabunge wa chama chake ni kwa nini hakuunga mkono hoja. Hii ni dhahiri ni ukiukwaji wa katiba ya nchi ni kuingilia uhuru wa mtu binafsi wa kutoa maoni.


Kwa mtazamo wangu nikiingalia rasimu naona inanipa matumaini kama vile mtu alikuwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi akitumia oxygen(oxygen dependent), sasa anaanza kuwa na uwezo wa kupumua bila machine japo kwa muda kidogo. Na kuonyesha dalili za uhai wake.

Rasimu mpya ya katiba inabainisha kuwepo na tume huru ya uchaguzi, kurejeshwa kwa tanganyika huru, japo katiba inatamka tanzania bara, lakini mm ningependa itamkwe tanganyika kama ambavyo zanzibar inavyoutamkwa, na si hivyo tu rasimu inakataza mbunge kuwa waziri, hili jambo zuri tulipiganie wanasiasa wasije kulichakachua,mana ni muhimu sana haiwezekani mtu mmoja ashike madaraka mara mbili katika nchi yenye watu million 42, kwangu mm nazichukulia hizi kama fulsa.

Japo kwa maoni yangu naona hakuna mahali ambapo rais amepunguziwa madaraka, nadhani hapa hili eneo hapakuwa na maoni?



Tanganyika oyeeeee kama ipo ipo tu
 
Back
Top Bottom