GENTAMYCINE... ulituletea exclusive hapa ya Simba washapewa points 3 zao za rufaa kwa FIFA.. Mpaka leo hiyo ndoto haijatokea... Nina mashaka sana na habari zako mkuu
Binafsi sioni kwa mpira wa bongo mchezaji kuvuka mil5Niyonzima asajiliwe kwa mil 110?? Simba watakuwa wendawazimu.
Akiwatungua msivunje viti tu km mnavyofanya kwa tambweMpira wa Ajib ndio kwaheri ...
Boco amefunga magoli mangapi msimu uliopita mkuu?Hivi mchezaji hajafunga hata magoli kumi katika mechi zote kwa msimu kwa vipindi viwili unasema hiyo dhahabu?, kichuya na mzamiru yassin wawe na miguuu ya nn?. Kwan Mimi ni bishoo tu asiyejitambua wenzake wanachakalia bongo na vipaji vyao, kina niyonzima, msuva,nk yeye ana nn cha ziada
Mikia washasajili zaidi ya wachezaji 10,hawa wawili tuliosajili sisi mikia wamevurugikiwa hadi wanataka kuanza usajili upya,hawa jamaa kwa kukurupuka!Na ndio ukweli huo best hizo nyingine porojo tu.
Tambwe kamnyoosha nani kati ya Simba na Yanga? Mgoli ya kubebwa bebwa ya mikonoUzuri huwa wanasahau haraka mno na kubaki kuponda.
Hongera sana kwa kuwa mwanajangwani mwenzangu.
Mataji au taji? Mnabebwakucheza mpira simba kusubiri kupata nafasi ya kucheza ULAYA ni sawa na kusubiri Embe chini ya Mnazi....
Usiniupize kwanini "nenda kamuulize MUSSA Hassan Mgosi".
Watu wanataka MATAJI tu....hizo danganya Toto zimepitwa na wakat.
Huwezi amini ila ndiyo hivyo habari nilizozipata hivi punde kutoka katika chanzo changu cha kuaminika kabisa zinasema kwa yule Tajiri na Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji amerejea rasmi Klabu ya Yanga na kwamba urejeo wake muda wowote utawekwa wazi na Katibu Mkuu wa Yanga Boniface Mkwasa.
Katika kuonyesha kuwa Manji amerudi na hatanii hivi ninavyoandika huu uzi tayari 99% Mchezaji wa Simba SC Ibrahim Ajib amesaini Yanga na kwamba kati ya Kesho hadi Jumapili Nahodha wa Simba SC Jonas Gerald Mkude nae atasaini Yanga FC.
Inasemekana sababu kubwa iliyomuudhi na kumkasirisha Tajiri Manji ni Kitendo cha Simba SC kumalizana na Mchezaji mahiri na tegemo wa Yanga Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima kwa dau linalokaribia Tsh Milion 110 za Kitanzania na kumalizana pia na Mshambuliaji wa Yanga FC Donald Ndombo Ngoma.
Kazi imeanza na Shikamoo Yusuph Manji na Mohamed Dewji ' Mo '.
Nawasilisha.
Ndio mnavyosema hivyo au?Nafasi yake tayari imeshajazwa na Ally shomari kiungo mahiri kutoka mtibwa sugar mwenye uwezo wa kucheza zaidi ya namba nne uwanjani. Muacheni aende tu huyo Ajibu
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mikia washasajili zaidi ya wachezaji 10,hawa wawili tuliosajili sisi mikia wamevurugikiwa hadi wanataka kuanza usajili upya,hawa jamaa kwa kukurupuka!
Uongo mtupu Niyonzima tunakaa naye mtaa mmoja ajasaini popote.. na vitu vyake anauza mpaka gari lake inawezekana akasepa kabisa bongoHuwezi amini ila ndiyo hivyo habari nilizozipata hivi punde kutoka katika chanzo changu cha kuaminika kabisa zinasema kwa yule Tajiri na Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Mehboob Manji amerejea rasmi Klabu ya Yanga na kwamba urejeo wake muda wowote utawekwa wazi na Katibu Mkuu wa Yanga Boniface Mkwasa.
Katika kuonyesha kuwa Manji amerudi na hatanii hivi ninavyoandika huu uzi tayari 99% Mchezaji wa Simba SC Ibrahim Ajib amesaini Yanga na kwamba kati ya Kesho hadi Jumapili Nahodha wa Simba SC Jonas Gerald Mkude nae atasaini Yanga FC.
Inasemekana sababu kubwa iliyomuudhi na kumkasirisha Tajiri Manji ni Kitendo cha Simba SC kumalizana na Mchezaji mahiri na tegemo wa Yanga Mnyarwanda Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima kwa dau linalokaribia Tsh Milion 110 za Kitanzania na kumalizana pia na Mshambuliaji wa Yanga FC Donald Ndombo Ngoma.
Kazi imeanza na Shikamoo Yusuph Manji na Mohamed Dewji ' Mo '.
Nawasilisha.
Uongo mtupu Niyonzima tunakaa naye mtaa mmoja ajasaini popote.. na vitu vyake anauza mpaka gari lake inawezekana akasepa kabisa bongo
wee unakaa Kijitonyama maana Nio ANAKAA Kwa Mzee BwandoUongo mtupu Niyonzima tunakaa naye mtaa mmoja ajasaini popote.. na vitu vyake anauza mpaka gari lake inawezekana akasepa kabisa bongo