Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

Povu lpte hilo kama vile wewe ni mungu ... Shenzino wewe
 
Sheikh Yahaya Hussein aliacha wajane wengi sana akiwemo huyu mtoa mada
 
Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib Migomba β€˜miguu ya dhahabu’ rasmi anajiunga na Yanga baada ya klabu yake ya sasa kushindwa kufikia nae makubaliano ya kumbakiza kwenye kikosi.

Taarifa ambazo www.shaffihdauda.co.tz inazo ni kwamba, Ajab na uongozi wa Simba hawakufikia makubaliano hivyo nyota huyo akaamua kwenda upande wa pili (Yanga) ambao nao walikua wanamfukuzia tangu kitambo.

Kiongozi mmoja wa Simba ambaye hakuwa tayari jina lake litajwe kwenye mtandao huu amesema, walijaribu kukaa na Ajib kwa ajili ya mazungumzo ili andelee kubaki Simba lakini mchezaji huyo hakuonekana kuwa tayari kubaki Msimbazi kutokana na kiwango cha pesa alichokua akikihitaji.

β€œTumemwacha aende anakotaka kwenda kwa sababu hana β€˜spirit’ tunayoihitaji sisi, acha aende tu sisi mbele kwa mbele,” amesema boss huyo.

Jana Jumatano Juni 14, 2017 mtandao huu ulitoa story kuhusu ofa tatu alizokuwanazo Ajib ambazo zilikuwa ni kutoka Simba, Yanga na Singida United ambapo Singida ndio ilikua timu yenye dau refu kuliko Simba na Yanga lakini Ajib alikuwa na wasiwasi kwenda Singida kutokana na kuhofia maisha yake ya baadae katika soka.

Ajib ambaye alianza kutamba Simba akitokea kikosi cha vijana alikuwa mchezaji huru baada ya kuhitimisha mkataba wake ndani ya Simba.
 
RASMI: Ibrahim Ajibu ametua Yanga

ShaffihDauda / Dick Dauda / 36 minutes ago

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib Migomba β€˜miguu ya dhahabu’ rasmi anajiunga na Yanga baada ya klabu yake ya sasa kushindwa kufikia nae makubaliano ya kumbakiza kwenye kikosi.

Taarifa ambazo www.shaffihdauda.co.tz inazo ni kwamba, Ajab na uongozi wa Simba hawakufikia makubaliano hivyo nyota huyo akaamua kwenda upande wa pili (Yanga) ambao nao walikua wanamfukuzia tangu kitambo.

Kiongozi mmoja wa Simba ambaye hakuwa tayari jina lake litajwe kwenye mtandao huu amesema, walijaribu kukaa na Ajib kwa ajili ya mazungumzo ili andelee kubaki Simba lakini mchezaji huyo hakuonekana kuwa tayari kubaki Msimbazi kutokana na kiwango cha pesa alichokua akikihitaji.

β€œTumemwacha aende anakotaka kwenda kwa sababu hana β€˜spirit’ tunayoihitaji sisi, acha aende tu sisi mbele kwa mbele,” amesema boss huyo.

Jana Jumatano Juni 14, 2017 mtandao huu ulitoa story kuhusu ofa tatu alizokuwanazo Ajib ambazo zilikuwa ni kutoka Simba, Yanga na Singida United ambapo Singida ndio ilikua timu yenye dau refu kuliko Simba na Yanga lakini Ajib alikuwa na wasiwasi kwenda Singida kutokana na kuhofia maisha yake ya baadae katika soka.

Ajib ambaye alianza kutamba Simba akitokea kikosi cha vijana alikuwa mchezaji huru baada ya kuhitimisha mkataba wake ndani ya Simba
 
Mi nashauri viongozi wa Yanga wangewaruhusu wachezaji wote wanaotaka kuondoka waondoke ili wajenge kikosi kingine imara! Niyonzima ni mchezaji mzuri ila kama kaamua kuondoka viongozi wamruhusu tu aende ingawa simba haikuwa sehemu sahihi ya kwenda kwani simba haina shida na kiungo mshambuliaji! Halafu hawa Simba hawana akili yani wanajenga timu upya?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Naandika uzi huu kumpongeza Ibrahim Ajibu kwa kuangalia masirah yake kuliko kuangalia mapenzi ya kijinga
Dogo amecheza akili za kiutu uzima
Nawapongeza pia yanga kuwa wamefanya usajiri wa maana sana
Mpira wa sikuiz masirahi kwanza kuliko mapenzi alfu mfukoni huna chochote[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
habari umezipata sports HQ ya e-fm ile segment ya mwisho kabisa ya "chaku chabo" !!! kipindi cha leo !

Nimefurahi sana leo kukujua Mchambuzi wa Efm Radio Oscar Oscar kwa hii ID yako ya JF.
 

Cc: kitalembwa.
 
Mbona taarifa za jana zinasema simba ilimalizana na Ajib na Mkude???
 
Hili la ndumba huenda lina ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…