Nawashangaa sana wana simba kuna mmoja alidai eti ajib alikuwa rotten apple, nikachoka na kuchoka.Kuna wengine wanajifanya hawamjui, eti Ajibu amezeeka ni bora aende Yanga.[emoji23]
kucheza mpira simba kusubiri kupata nafasi ya kucheza ULAYA ni sawa na kusubiri Embe chini ya Mnazi....Aende akacheze huko bado mkude aende tu dead players!
Mkuu nahisi wewe sio mwanamichezo.Ndio maana mkataka kumuua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo Ajibu amezeeka, Bocco ni kinda!.... [emoji51] [emoji51] hatarii
Ndio hapo sasa. Ila sijajuaga nguvu ya kujitapa huwa wanaitowa wapi.0riginal wenyewe wamekuwa FEKI kwa local League kwa miaka 5 hivi sasa..
Mwana jangwaniNdio hapo sasa. Ila sijajuaga nguvu ya kujitapa huwa wanaitowa wapi.
Nipo best umesikia habari ya ajib. Huu ndio mwanzo.Mwana jangwani
Wanachekesha sana [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwahiyo Ajibu amezeeka, Bocco ni kinda!.... [emoji51] [emoji51] hatarii
Uzuri huwa wanasahau haraka mno na kubaki kuponda.Huyu atawanyoosha km a avyowanyoosha tambwe
Ahsante mkuu,Yanga Africans ndio chama la wajanja,hao jamaa wanamponda ajib now,ligi ikianza ndio watamtambuaUzuri huwa wanasahau haraka mno na kubaki kuponda.
Hongera sana kwa kuwa mwanajangwani mwenzangu.
Na ndio ukweli huo best hizo nyingine porojo tu.Ahsante mkuu,Yanga Africans ndio chama la wajanja,hao jamaa wanamponda ajib now,ligi ikianza ndio watamtambua
Sasa Manji atapataje aibu wakati ashaachana na yanga,na hao wachezaji aliwaacha hapohapo Yanga? Kwa maelezo hayo nna waswas na mleta mada.Inasemekana Manji kakasirishwa na Umafia ambao Simba SC imewafanyia Yanga FC hasa kwa Mchezaji ambaye pia ndiyo roho ya Yanga FC Niyonzima tena huku wakipewa msaada wa kufanikisha hili na Matajiri wawili kabisa wa Yanga FC ambao imegundulika kuwa wana Uadui mkubwa na Manji ( ambao kwa sasa sitoweza kuwataja Majina yao ila kama ukiwa Mtu wa Mpira najua utakuwa umeshawajua na bahati nzuri wote wawili Ofisi zao ziko jirani na Kampuni ya Superdoll na Benki ya Diamond Trust barabara Kuu ya Kariakoo / Msimbazi ) na wamefanya hivyo ili kuidhoofisha Yanga FC na kumtia aibu Manji ili Timu ifanye vibaya na Mhindi wa Watu aumbuke na apate aibu kwa Wanachama.
Kumekucha Simba na Yanga. Sasa Fedha za Manji na Dewji zinaongea Kudadadeki!
Kwa upande wako mchezaji mzr ni yule aliyefunga magoli mengi? Kwani Ajib ni striker au kiungo? Kwahiyo, tuzo ya uchezaji bora aliyopewa Shabalala ni ya uongo au hakustahili kwakua hakufunga magoli mengi?Hivi mchezaji hajafunga hata magoli kumi katika mechi zote kwa msimu kwa vipindi viwili unasema hiyo dhahabu?, kichuya na mzamiru yassin wawe na miguuu ya nn?. Kwan Mimi ni bishoo tu asiyejitambua wenzake wanachakalia bongo na vipaji vyao, kina niyonzima, msuva,nk yeye ana nn cha ziada
KessyMpira wa Ajib ndio kwaheri ...