we uluona ap ofice assistant akampelekesha bosi?Naona unavyozidi tu ' kuweweseka ' na ' dozi ' ya dawa aina ya GENTAMYCINE Mkuu. Pole sana na Mimi nimebobea mno katika ' Psychological War ' na naiweza kweli. Nilichokunyia hadi sasa hatimaye umetoka katika ' reli ' ni 3% tu ya ujuzi nilionao wa Vita vya Kisaikolojia je ningetumia 5% si ungesha log out kabisa ukalale? Twende Kazi Mkuu na leo ' nakesha ' hapa JF hivyo nimefuahi kulipata ' Boya ' la kulipelekesha ili linichangamshe na nisiweze ' Kusinzia '.
siko jf sabab ya kufurahisha watu
niko hapa kuwakilisha maoni yangu tuu!!!!!
so uko hapa kuteka akili za watu sabab ya like?
anyway kwa hizi comment 2 tatu znatosha kwa wenye akili kujua we ni mtu wa aina gani
we uluona ap ofice assistant akampelekesha bosi?
kwa vile mmeo umemnywesha limbwata bas unafkiri kila kidume ni the same?
hahaaa kuna ntu anakutekenya apo au umekalia kitu chenye nchakali sio buree .....hahaaa maana naona unatyp ka unaskilizia utam iv.....Tayari ' Kwishnei ' Wewe na sasa ni ' ndembe ndembe '. Chezea GENTAMYCINE Weye!
hahahaa we mtoto mdogo sana kwe hii kaziUkitaka ujue kuwa nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuharibu Saikolojia yako na kukutoa katika reli ' totally ' pitia posts zako za pages za mwanzo na hizi za pages mbili hizi za mwisho. Ninalolitaka Mimi huwa linakuwa na naweza kukuchezesha mziki wangu na ukaucheza. Ukibarikiwa umebarikiwa tu hakyanani.
hahahaa we mtoto mdogo sana kwe hii kazi
sema nmeamua kukujibu vile unataka (try me)
zooo am flexible yani njoo kivyovyote vile apa lazma ukaee
unafkir na mie ngekukimbia ka yule jamaa? pole I was born to win
bwana ako ndo amekutuma uje unambie ivi?Nasubiri umalize ' Sumu ' yako yote kisha nikupe ' Kitu ' kimoja tu uweze kuiheshimu hii ID milele amina.
Aiseeeed,jamaa wamezimaaaaNimemkumbuka ghafla Ben Saanane.
Hivi mkuu umejiandaa vizuri kwa GENTAMYCINE au huyo asikari uliye weka kwa profile ni mbwembwe?bwana ako ndo amekutuma uje unambie ivi?
sasa mwambie lile njemba xng hua) limesema hiviiiiiiiii wote nyie ni nanga tuu na ntasubiri sanaa!!!
tehteh unamuogopa eeehHivi mkuu umejiandaa vizuri kwa GENTAMYCINE au huyo asikari uliye weka kwa profile ni mbwembwe?
Ukichunguza sana chanzo cha asali basi hutaila. Wewe jirambe tu utamu wa asali kunoga.Kwahiyo hizo taarifa umepataje ikiwa wote wawili wameuawa.?? Je nani alikuambia mwanamke ndio kamwambie wapitie huko ikiwa mwanamke mwenyewe ameuawa..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nataka tu kujua protective features gani zimetumika kwenye hiyo fingerprintHuwezi jua Mkuu je kama ' Jamaa ' hao ( Mafia ) walipomkamata walienda nae huko katika hiyo ' Mifumo ' yao ya Kiteknolojia kisha kwa ' mateso ' waliyompa ' Marehemu ' labda alikubali kuweka hicho ' Kiganja ' chake kwa ' Kuswapu ' huko kisha walipoona wamefanikiwa ndiyo wakaenda kummaliza. Hivi hili nalo umeshindwa tu kulifikiria Mkuu ukiwa kama Great Thinker wa JF?
Aliyekuambia mfumo wa vyama vingi umekuwapo Kenya tangu Uhuru nani? Ofisi za Lumumba au?Sasa mnaweza kumuelewa Nyerere baada ya uhuru aliposema tutakuwa na chama kimoja (TANU baadae CCM) mpaka tutakapoimarika na kujijua kama taifa moja (Nationalism).
Fikiria kama baada ya uhuru tungeruhusu vyama vingi.....
Tungekuwa na vyama vya
-Wasukuma,
-Wahaya,
-Wanyakyusa,
-Wachaga,
n.k.
Leo hii siasa za Tanzania zisingetofautiana na za Kenya.
Unfortunately, kuna watu wanajaribu kutupeleka huko. Washindwe, walegee kwa jina la mtakatifu NYERERE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku ndiyo kutumia viungo vingine kuwaza badala ya ubongoMuulize Mbowe utamu wa madaraka...maana uenyekiti tu wa chadema ni vita nna vifo hutokea (rejea Chacha Wangwe)
Kwani kauawa kidemokrasia?Kuna watu walikuwa wanapiga kelele humu kuwa demokrasia ya kenya imeiva ya kwetu ni mbichi na chachu! Wakasisitiza kuwa tume ya uchaguzi ya kenya iko huru sana!
Ujinga mzigoMuulize Mbowe utamu wa madaraka...maana uenyekiti tu wa chadema ni vita nna vifo hutokea (rejea Chacha Wangwe)