xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,379
we uluona ap ofice assistant akampelekesha bosi?Naona unavyozidi tu ' kuweweseka ' na ' dozi ' ya dawa aina ya GENTAMYCINE Mkuu. Pole sana na Mimi nimebobea mno katika ' Psychological War ' na naiweza kweli. Nilichokunyia hadi sasa hatimaye umetoka katika ' reli ' ni 3% tu ya ujuzi nilionao wa Vita vya Kisaikolojia je ningetumia 5% si ungesha log out kabisa ukalale? Twende Kazi Mkuu na leo ' nakesha ' hapa JF hivyo nimefuahi kulipata ' Boya ' la kulipelekesha ili linichangamshe na nisiweze ' Kusinzia '.
kwa vile mmeo umemnywesha limbwata bas unafkiri kila kidume ni the same?