Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Kitengo cha ICT ni kigumu sana katika tume ya uchaguzi. Leo tunawasema wakenya ila tunasahau kuwa Mkurugenzi wa ICT wa Tume ya uchaguzi ya Tanzania Dk. Sisti Cariah mwaka 2015 aliondolewa kwenye nafasi yake siku 25 kabla ya uchaguzi na hadi leo hakuna maelezo kwamba alipelekwa/alihamishiwa wapi na kwa sababu gani.
 
Maelezo yako mbona yana hitimisha kuwa kuwa Jubilee ndio wamehusika? Kwanini si NASA kwa kutafuta public sympathy kupitia mgongo wa Kura kuibiwa na kuingiza nchi kwenye machafuko? NASA hata kabla ya kupotea kwa msando walileta story za kuibiwa kura na hata baada ya Msando kupatikana ndio wameonesha wazi kuwa hawana imani na mfumo wa matokeo ,,,,Kwanini sio kwamba hili jambo limepangwa ili kuonesha ulimwengu kuwa Kura zinaibiwa?
Mimi bado nina wasi wasi kabisa na pande zote kuhusika........maana mazingira ya kifo cha Msando bado kina waweka kwenye mashaka pande zote mbili kuhusika...
Mashaka yako yanaweza kuwa n'a mashiko lkn kwenye Upelelezi mtu akifa kitatanishi Polisi wanatafuta mtu wa mwisho aliekuwa na Marehemu Kwa maelezo ya mleta mada nikwamba Jamaa hata alipoomba Ulinzi wakulu hawakujali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwili wake mwenda zake ndani ya city mortuary, inasemekana una majeraha mabaya mikononi na shingoni kuashiria aliteswa sana kabla hajauliwa.
FB_IMG_1501528801908.jpg
 
Mkuu GENTAMYCINE huwa nakusomaga na kukufuatilia lakini leo umenigusa sana.
Hivi madaraka ya kisiasa yana nini ndani yake mpaka watu wanaoshinda kwenye nyumba za Ibada na kula viapo hadharani wafanye yote haya!? Kama week mbili zilizopita nilifuatilia mazishi ya waziri wa zamani Mzee Biwott na kujifunza kitu.
Muulize Mbowe utamu wa madaraka...maana uenyekiti tu wa chadema ni vita nna vifo hutokea (rejea Chacha Wangwe)
 
Watu hawajui duniani twa pita tu na fahari zote za dunia tutaziacha......pumzika kwa amani Ndg....hakika kila mwana wa Adam ni lazima ayaonje mauti.
Angalia tu fahari ya uenyekiti wa chadema jinsi inavyopoteza watu
 
Lakini Msando sikuona sababu ya yeye kusema wazi kwenye media kuwa hakuna atakaye ingilia mfumo wa matokeo labda akatwe kiganja....Kwangu mimi niliona kama alikuwa amewapa mbinu wauwaji kabisa na zile zilikuwa tambo zisizo na msingi na hapa kusema kweli kabisa ndipo niliamini hakuna kitu kinaitwa Tume huru...
Kama mtu alipata wasaha kutazama mahojiano ya Msando atagundua kabisa kuwa alikuwa na upande wake na ndio maana alikuwa anaweka tambo na katika maongezi yake alionesha wazi kabisa uchaguzi uliopita uliingiliwa na wazi alikuwa ana watuhumu Jubilee...
Kwa hiyo Msando angeliweza kuhakikisha hakuna anaye ingilia mfumo wa matokeo kwa kuonesha vitendo na sio lazima kuweka tambo na kuonesha jinsi ambavyo wanaweza kuingilia matokeo...hilo ni kosa alilo lifanya pale kwenye usaili wake.

Halafu Kifo chake kina utata sana maana upande wa pili ule unaweza kuwa umetekeleza hii mission ili kuonesha kuwa wahusika ni watu fulani na kuhalalisha kuwa kura zimeibiwa na kabla ya kifo chake NASA walisema wamegundua kuna mpango wa wizi wa kura sasa najiuliza kwanini wasiwe NASA wame usika kwenye hili jambo ili kuthibitisha madai yao kuwa kuna mpango wa wizi wa Kura?
Halafu ni jana tuu NASA wamehoji usalama wa Kura zao baada Msando kuuwawa...
Bado naamini kuna mengi sana nyuma ya kifo cha Msando.

Kumbuka watu hawakuwa na imani na mfumo huo kwa kurejea historia ya uchaguzi uliopita ambapo mfumo uli feli na kusababishwa manual system kutumika. Hivyo kulikuwa na haja kubwa yeye kusema hivyo ili kuuaminisha umma kuwa safari hii mfumo uko vizuri, hakuwa na kosa lolote.
 
Lakini Msando sikuona sababu ya yeye kusema wazi kwenye media kuwa hakuna atakaye ingilia mfumo wa matokeo labda akatwe kiganja....Kwangu mimi niliona kama alikuwa amewapa mbinu wauwaji kabisa na zile zilikuwa tambo zisizo na msingi na hapa kusema kweli kabisa ndipo niliamini hakuna kitu kinaitwa Tume huru...
Kama mtu alipata wasaha kutazama mahojiano ya Msando atagundua kabisa kuwa alikuwa na upande wake na ndio maana alikuwa anaweka tambo na katika maongezi yake alionesha wazi kabisa uchaguzi uliopita uliingiliwa na wazi alikuwa ana watuhumu Jubilee...
Kwa hiyo Msando angeliweza kuhakikisha hakuna anaye ingilia mfumo wa matokeo kwa kuonesha vitendo na sio lazima kuweka tambo na kuonesha jinsi ambavyo wanaweza kuingilia matokeo...hilo ni kosa alilo lifanya pale kwenye usaili wake.

Halafu Kifo chake kina utata sana maana upande wa pili ule unaweza kuwa umetekeleza hii mission ili kuonesha kuwa wahusika ni watu fulani na kuhalalisha kuwa kura zimeibiwa na kabla ya kifo chake NASA walisema wamegundua kuna mpango wa wizi wa kura sasa najiuliza kwanini wasiwe NASA wame usika kwenye hili jambo ili kuthibitisha madai yao kuwa kuna mpango wa wizi wa Kura?
Halafu ni jana tuu NASA wamehoji usalama wa Kura zao baada Msando kuuwawa...
Bado naamini kuna mengi sana nyuma ya kifo cha Msando.

Uko sahihi 100% kuwa Marehemu Msando hiki ' Kifo ' amekitafuta mwenyewe kwani hakuna ' System ' yoyote ile duniani itakayokuacha salama kama ukifanya mambo aliyofanya Yeye. Na sijui alijiamini nini hadi akawa anajiaminisha vile alivyowaaminisha Wakenya. Katika nchi ambazo Mfanyakazi yoyote wa Tume ya Uchaguzi huwa ana 99% za ' Kuuwawa ' Kimafia kama akileta ' fyoko fyoko ' ni za Afrika ( japo sijui kama na Tanzania hapa Kwetu tabia hii ipo Wahenga mtanisaidia hapa )
 
Hii ni moja kati ya sababu za viongozi corrupt wa Africa kuipinga ICC.
1. Kubadili katiba ili wabakie madarakani
2. Kuwaweka vizuizini wapinzani
3. Mauaji ya watu wasiokubaliana na matakwa yao (assassination)
4. Kuminya uhuru wa habari
5. Kuhodhi mwenendo wa vyombo vya dola

Mwisho wa siku wanakaa kwenye vikao vyao na kusapotiana kujitoa ICC bila haya wakisema wazungu wanazingua.
 
Mkuu GENTAMYCINE huwa nakusomaga na kukufuatilia lakini leo umenigusa sana.
Hivi madaraka ya kisiasa yana nini ndani yake mpaka watu wanaoshinda kwenye nyumba za Ibada na kula viapo hadharani wafanye yote haya!? Kama week mbili zilizopita nilifuatilia mazishi ya waziri wa zamani Mzee Biwott na kujifunza kitu.

Akhsante na tupo pamoja Mkuu na hii ndiyo Afrika.
 
Maelezo ya huyo mwanamke nani aliyatoa na kufanikisha kuandika? Kama Watu wamezuiliwa ni nani ameona kwamba kidole kimekatwa! Nani anajua kuwa huyo mwanamke alikuwa msiri wake??
nimesoma Leo dada yake marehemu huyo bint miaka 21 alisema caro alimuambia anatoka out ma msando kwenda kunywa na wanajua yeye na msando walikuwa mahawara ingia daily nation.Co.ke
 
Back
Top Bottom