Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu baada ya ndugu zake kuanza kupiga kelele, leo kajitokeza na kudai yuko salama, alibanwa tu na kazi. Sasa sijui akibanwa na kazi ndio hata familia yake anasahau kuiarifu?Jawani, jamani, ...majirani zetu wanahitaji kuombwewa maana wanakoelekea sasa ni mashaka matupu!
Haya hapa mengine...
View attachment 555255
Huyu SAITOTI ni Issue ya NgadaKabisa the same fate,
Tom Mboya.
Josiah Mwangi Kariuki.
Dr. Robert Ouko.
Prof. George Saitot, etc, etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashaka yako yanaweza kuwa n'a mashiko lkn kwenye Upelelezi mtu akifa kitatanishi Polisi wanatafuta mtu wa mwisho aliekuwa na Marehemu Kwa maelezo ya mleta mada nikwamba Jamaa hata alipoomba Ulinzi wakulu hawakujali...Maelezo yako mbona yana hitimisha kuwa kuwa Jubilee ndio wamehusika? Kwanini si NASA kwa kutafuta public sympathy kupitia mgongo wa Kura kuibiwa na kuingiza nchi kwenye machafuko? NASA hata kabla ya kupotea kwa msando walileta story za kuibiwa kura na hata baada ya Msando kupatikana ndio wameonesha wazi kuwa hawana imani na mfumo wa matokeo ,,,,Kwanini sio kwamba hili jambo limepangwa ili kuonesha ulimwengu kuwa Kura zinaibiwa?
Mimi bado nina wasi wasi kabisa na pande zote kuhusika........maana mazingira ya kifo cha Msando bado kina waweka kwenye mashaka pande zote mbili kuhusika...
Kuna watu walikuwa wanapiga kelele humu kuwa demokrasia ya kenya imeiva ya kwetu ni mbichi na chachu! Wakasisitiza kuwa tume ya uchaguzi ya kenya iko huru sana!Laah, shughuli bado pevu mno hapa Africa - we need 100 more yrs to be civilized.
Muulize Mbowe utamu wa madaraka...maana uenyekiti tu wa chadema ni vita nna vifo hutokea (rejea Chacha Wangwe)Mkuu GENTAMYCINE huwa nakusomaga na kukufuatilia lakini leo umenigusa sana.
Hivi madaraka ya kisiasa yana nini ndani yake mpaka watu wanaoshinda kwenye nyumba za Ibada na kula viapo hadharani wafanye yote haya!? Kama week mbili zilizopita nilifuatilia mazishi ya waziri wa zamani Mzee Biwott na kujifunza kitu.
Angalia tu fahari ya uenyekiti wa chadema jinsi inavyopoteza watuWatu hawajui duniani twa pita tu na fahari zote za dunia tutaziacha......pumzika kwa amani Ndg....hakika kila mwana wa Adam ni lazima ayaonje mauti.
Lakini Msando sikuona sababu ya yeye kusema wazi kwenye media kuwa hakuna atakaye ingilia mfumo wa matokeo labda akatwe kiganja....Kwangu mimi niliona kama alikuwa amewapa mbinu wauwaji kabisa na zile zilikuwa tambo zisizo na msingi na hapa kusema kweli kabisa ndipo niliamini hakuna kitu kinaitwa Tume huru...
Kama mtu alipata wasaha kutazama mahojiano ya Msando atagundua kabisa kuwa alikuwa na upande wake na ndio maana alikuwa anaweka tambo na katika maongezi yake alionesha wazi kabisa uchaguzi uliopita uliingiliwa na wazi alikuwa ana watuhumu Jubilee...
Kwa hiyo Msando angeliweza kuhakikisha hakuna anaye ingilia mfumo wa matokeo kwa kuonesha vitendo na sio lazima kuweka tambo na kuonesha jinsi ambavyo wanaweza kuingilia matokeo...hilo ni kosa alilo lifanya pale kwenye usaili wake.
Halafu Kifo chake kina utata sana maana upande wa pili ule unaweza kuwa umetekeleza hii mission ili kuonesha kuwa wahusika ni watu fulani na kuhalalisha kuwa kura zimeibiwa na kabla ya kifo chake NASA walisema wamegundua kuna mpango wa wizi wa kura sasa najiuliza kwanini wasiwe NASA wame usika kwenye hili jambo ili kuthibitisha madai yao kuwa kuna mpango wa wizi wa Kura?
Halafu ni jana tuu NASA wamehoji usalama wa Kura zao baada Msando kuuwawa...
Bado naamini kuna mengi sana nyuma ya kifo cha Msando.
Kuna watu wengi tu wameua kwa risasi lkn wakaja kufa kwa malaria. Sheria ifuate mkondo wake.Huuuuh inasikitisha, inahuzunisha, na kuogopesha pia....
Ole wake auae kwa upanga nae atauawa kwa upanga
Lakini Msando sikuona sababu ya yeye kusema wazi kwenye media kuwa hakuna atakaye ingilia mfumo wa matokeo labda akatwe kiganja....Kwangu mimi niliona kama alikuwa amewapa mbinu wauwaji kabisa na zile zilikuwa tambo zisizo na msingi na hapa kusema kweli kabisa ndipo niliamini hakuna kitu kinaitwa Tume huru...
Kama mtu alipata wasaha kutazama mahojiano ya Msando atagundua kabisa kuwa alikuwa na upande wake na ndio maana alikuwa anaweka tambo na katika maongezi yake alionesha wazi kabisa uchaguzi uliopita uliingiliwa na wazi alikuwa ana watuhumu Jubilee...
Kwa hiyo Msando angeliweza kuhakikisha hakuna anaye ingilia mfumo wa matokeo kwa kuonesha vitendo na sio lazima kuweka tambo na kuonesha jinsi ambavyo wanaweza kuingilia matokeo...hilo ni kosa alilo lifanya pale kwenye usaili wake.
Halafu Kifo chake kina utata sana maana upande wa pili ule unaweza kuwa umetekeleza hii mission ili kuonesha kuwa wahusika ni watu fulani na kuhalalisha kuwa kura zimeibiwa na kabla ya kifo chake NASA walisema wamegundua kuna mpango wa wizi wa kura sasa najiuliza kwanini wasiwe NASA wame usika kwenye hili jambo ili kuthibitisha madai yao kuwa kuna mpango wa wizi wa Kura?
Halafu ni jana tuu NASA wamehoji usalama wa Kura zao baada Msando kuuwawa...
Bado naamini kuna mengi sana nyuma ya kifo cha Msando.
Mkuu GENTAMYCINE huwa nakusomaga na kukufuatilia lakini leo umenigusa sana.
Hivi madaraka ya kisiasa yana nini ndani yake mpaka watu wanaoshinda kwenye nyumba za Ibada na kula viapo hadharani wafanye yote haya!? Kama week mbili zilizopita nilifuatilia mazishi ya waziri wa zamani Mzee Biwott na kujifunza kitu.
nimesoma Leo dada yake marehemu huyo bint miaka 21 alisema caro alimuambia anatoka out ma msando kwenda kunywa na wanajua yeye na msando walikuwa mahawara ingia daily nation.Co.keMaelezo ya huyo mwanamke nani aliyatoa na kufanikisha kuandika? Kama Watu wamezuiliwa ni nani ameona kwamba kidole kimekatwa! Nani anajua kuwa huyo mwanamke alikuwa msiri wake??