Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Exclusive: Haya Ndiyo Matukio Makubwa Yaliyopelekea Mauaji Ya Bosi Wa Iebc Musando Huko Kenya

Biometric finger prints sasa tu jiulize kiwanja kile kita-swap na ku-access election management system bila ya blood circulation?

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwezi jua Mkuu je kama ' Jamaa ' hao ( Mafia ) walipomkamata walienda nae huko katika hiyo ' Mifumo ' yao ya Kiteknolojia kisha kwa ' mateso ' waliyompa ' Marehemu ' labda alikubali kuweka hicho ' Kiganja ' chake kwa ' Kuswapu ' huko kisha walipoona wamefanikiwa ndiyo wakaenda kummaliza. Hivi hili nalo umeshindwa tu kulifikiria Mkuu ukiwa kama Great Thinker wa JF?
 
Ila marehemu alifanya vyema kuwa hakikishia waKenya hakutakuwa na udanganyifu kwenye uchaguzi huu.

Sasa kawahakikishia Wakenya halafu Yeye ndiyo kawatangulia ' Kuzimu '. Vitu vingine unatakiwa utumie sana akili kuvisema na siyo kama alivyokurupuka Yeye. Hapana chezea ' Mafia ' Mkuu.
 
Foolish Creature.
mambo ya kenya we huyajui na unashadadia vitu usivo vijua
hili andiko lako umeandika ki shakunaku sana
nlkuuliza lini msemaji wa kdf alisema wanaratibu wizi wa kura? Hujajibu
je hujui kama idara ya polisi kenya iko huru? hujajibu
je tume ya uchaguzi Kenya ni huru?
then how serkali inaweza kuwaingilia na kuamuru mauwaji?
kenya sio bongo brooh kule kuna baraza la kusimamia polisi so kama polisi ilfanya uzembe wa kutomskiliza musando ilo baraza linge/litashughulikia polisi
tafta katiba ya kenya brother ujielimishe kidogo madaraka ya raisi wao yanagomea wap

uchaguzi kenya hautuhusu wala hatuwasaidii kupiga kura so bandiko lako ni useless
nmechangia kidogo tuu sababu ya bandiko lako linapotosha na uchochezi kwa ndugu zetu hawa

sjui how sure u're na hivo fake vyanzo vyako?
 
Ben Sanane yuko wapi?
Hizi nchi zetu zina laana...ndio maana viongozi wetu wanaongea kama wendawazimu

Sent using Jamii Forums mobile app

Oya hapa tunamuongelea Chris Msando na usituletee taarifa yako ya kupotea kwa Ben Saanane wakati tayari Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea alishasema kuwa Mbowe ( Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA ) anajua alipo. au hukumsikia Mbunge Kubenea aliposema hili?

Hapa ' mada ' Kuu ni Marehemu Msando hivyo usitake ' Kunichefua ' kwa kutuletea huyo ' Kiumbe ' wenu ambaye kiuhalisia CHADEMA wote mnajua aliko.
 
mambo ya kenya we huyajui na unashadadia vitu usivo vijua
hili andiko lako umeandika ki shakunaku sana
nlkuuliza lini msemaji wa kdf alisema wanaratibu wizi wa kura? Hujajibu
je hujui kama idara ya polisi kenya iko huru? hujajibu
je tume ya uchaguzi Kenya ni huru?
then how serkali inaweza kuwaingilia na kuamuru mauwaji?
kenya sio bongo brooh kule kuna baraza la kusimamia polisi so kama polisi ilfanya uzembe wa kutomskiliza musando ilo baraza linge/litashughulikia polisi
tafta katiba ya kenya brother ujielimishe kidogo madaraka ya raisi wao yanagomea wap

uchaguzi kenya hautuhusu wala hatuwasaidii kupiga kura so bandiko lako ni useless
nmechangia kidogo tuu sababu ya bandiko lako linapotosha na uchochezi kwa ndugu zetu hawa

sjui how sure u're na hivo fake vyanzo vyako?

Foolish Creature.
 
Huwa sipotezi muda wangu na ' Fools ' na ukitaka kuthibitisha hilo kuwa Mimi na Wewe ni kama vile Mbingu na Ardhi angalia tu idadi ya ' Likes ' zangu katika ' thread ' yangu hii ' iliyotukuka ' kisha linganisha na ' Like ' yako kama umeipata mpaka muda huu. Huyu ndiyo GENTAMYCINE ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
So what is like? Pathetic

wacha maneno jibu hoja sio unaanza kujisia hapa
 
0f6ae1c4927881c8122761ba0ec7fcad.jpg
3a136244ca35ee33613c5c114d3cbc09.jpg
4c75801d9258098da190cd587a8d936e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
So what is like? Pathetic

wacha maneno jibu hoja sio unaanza kujisia hapa

Irudie tena kuisoma ' Signature ' yangu itakupa majibu kamili otherwise una mengi ya kujifunza na hata kuchukua kutoka Kwangu. Kazi yangu kubwa ni ' Kukutesa ' tu ' Kisaikolojia ' na nashukuru sasa naanza kufanikiwa na Wewe.
 
Yeah like Your mother!!

Wacha kelele tanua ni weke

Haya majibu yako tayari yameshanionyesha kuwa nimefanikiwa mno kukutoa katika reli na kuharibu ' totally ' Saikolojia yako na umeanza ' kuhamaki ' kitu ambacho ndicho nilikitaka nikifanye Kwako. Huyo ndiyo GENTAMYCINE na pole sana!
 
Irudie tena kuisoma ' Signature ' yangu itakupa majibu kamili otherwise una mengi ya kujifunza na hata kuchukua kutoka Kwangu. Kazi yangu kubwa ni ' Kukutesa ' tu ' Kisaikolojia ' na nashukuru sasa naanza kufanikiwa na Wewe.
hahaaa jipe moyo!!!
unawatesa mabwana zako not me!!!!
hata ivo ungekua na bahati sana maana sina uo upuuzi wa kuanza kusoma profile za watu humu jf
 

Oya huyu ' Ndito ' ndiyo kaondoka kwenda ' Kuzimu ' na Msando wa IEBC? Na nasikia alikuwa ndiyo anaenda ' Kumbandua ' au? Ila kama ni huyu hata Mimi ' angenitega ' na ' niuwawe ' tu wallahi. Mtoto mzuri na bado mbichi kabisa halafu lazima atakuwa alikuwa na ' Mbunye ' nzuri mno kwani mdomo wake tu ' unasadiki ' hilo. Kaondoka na ' Urembo ' wake hakyanani.
 
Haya majibu yako tayari yameshanionyesha kuwa nimefanikiwa mno kukutoa katika reli na kuharibu ' totally ' Saikolojia yako na umeanza ' kuhamaki ' kitu ambacho ndicho nilikitaka nikifanye Kwako. Huyo ndiyo GENTAMYCINE na pole sana!
uskimbilie kwa moderators tuu
maana maneno mchafu umeyaanzisha wewe kwa kusindwa kujibu hoja af et unajisifia kuwatoa watu kwe reli

sio wote tnaakili za kukariri ka zako
 
hahaaa jipe moyo!!!
unawatesa mabwana zako not me!!!!
hata ivo ungekua na bahati sana maana sina uo upuuzi wa kuanza kusoma profile za watu humu jf

Natizama ' Likes ' ulizopata humu katika michango yako yote sioni hata moja. Tatizo lako ' Nyota ' Mkuu hivyo njoo nikupe mbinu ' ndogo ' ya kukufanya ukubalike na uwe kipenzi cha Watu ( Members ) hapa JF. Wewe unadhani ' signature ' yangu nilivyoiandika kwamba ' Purely Talented and Charismatic Fella ' nilikosea?
 
Baada ya taarifa ya Kifo cha aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Tume ya Uchaguzi nchini Kenya IECB Bwana Chris Musando kutokea jana niliweza kujiridhisha ' Kitaarifa ' zaidi kutoka kwa ' Wadau ' mbalimbali wa Kenya ambao baadhi yao wanahusika moja kwa moja ya masuala ya Uchaguzi Mkuu ujao huku wengine wakiwa ni ' Wabobezi ' wa Investigative Journalism huko Kenya ambapo kwa pamoja walinithibitishia mambo makubwa saba ( 7 ) yaliyopelekea Kifo hiko cha ' Kikatili ' kabisa.

Yafuatayo ni matukio ambayo Marehemu aliyafanya siku nne ( 4 ) tu zilizopita kabla ya hayo ' Mauaji ' yake ya ' Kikatili ' kutokea hivyo nitayaweka hapa kwenu ili kila mmoja ayaangalie na ayafanyie ' tathmini ' mwenyewe ' Kimoyomoyo ' kisha mwishoni wote tutajua ni nani ' Kamuua ' Marehemu Chris Msando.

Tukio #1.
Kwa niaba ya Tume nzima ya IECB Marehemu alipeleka ombi Serikalini la kupewa Ulinzi wa Yeye na wenzake wote lakini hadi mauti yanamkuta hakujibiwa wakati alipopeleka maombi ya mengine yahusuyo ufanikishaji wa ' Oparesheni ' za IECB alijibiwa na kupewa ' Ushirikiano haraka sana.

Tukio #2.
Siku tatu kabla ya Kifo chake Marehemu alikwenda Police kupeleka taarifa za Yeye ' Kutishiwa ' maisha na Watu asiowajua lakini hakuna ' Ulinzi ' aliopewa hadi Umauti yanamkuta hiyo jana.

Tukio #3.
Marehemu huko nyuma alishapewa ' Onyo ' kali la kutozungumza na Chombo chochote cha Habari nchini Kenya na ' Mamlaka ' na kuambiwa kwamba Mtu pekee ambaye angetakiwa kuzungumza na Media basi ni Waziri tu husika wa Habari na Mawasiliano.

Tukio #4.
Siku mbili tu kabla ya Kifo chake Marehemu Msando ' alikaidi ' hiyo amri kutoka katika ' Mamlaka ' ambapo alikubali mualiko wa kwenda kufanya interview na Kituo Kimoja cha Television nchini Kenya ambapo aliyoyasema huko inasemekana kuwa ndiyo yaliharakisha ' mauaji ' yake.

Tukio #5.
Wakati akiwa ' mubashara ' kabisa akizungumza katika hicho Chombo cha Habari Marehemu alisikika ' akiwahakikishia ' Wakenya wote kuwa kwa jinsi alivyotengeneza ' Mfumo ' wa Kimawasiliano wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya ya IECB hakuna Mtu yeyote yule atakayeweza ' Kuudukua ' hata iweje na akaenda mbele kusema kwamba Mtu akitaka ku ' hack ' taarifa zozote za Tume ya Uchaguzi IECB basi labda akatwe ' Kiganja ' chake kwani ili upate taarifa zao ni mpaka Yeye ( Marehemu ) atumie ' Kiganja ' chake cha Mkono ndipo Mtu mwingine apate taarifa za Tume.

Tukio #6.
Marehemu bila kujua mbinu za ' Kimafia ' na labda pengine alijisahau kuwa siku zote ukitaka tu ' Kuuawa ' Kimafia basi Mtu wako wa Karibu sana ama Nduguyo au Mpenzi wako au Rafiki yako tu wa karibu ndiyo hutumika sana kukumaliza. Marehemu usiku kabla hajafariki alifuatwa na ' Mwanamke ' ambaye inasemekana anamuamini sana ndipo huyo ' Mwanamke ' kwakuwa tayari alishapewa maagizo yote ya ' Kimafia ' ndipo akamtega Marehemu kuwa wapite barabara fulani ambapo kumbe huko mbele ' Wauaji ' wake wale ' Mafia ' walikuwepo.

Tukio #7.
Ili kuonyesha kuwa ama hakika ' Wauaji ' wake wa ' Kimafia ' walichukizwa na Kitendo cha Marehemu kwenda mbele ya Media na kusema kwamba safari hii katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya hakuna ' Udukuzi 'wowote utatokea kama ilivyokuwa Uchaguzi uliopita labda akatwe Kiganja ' chake ndipo hata katika ' mauaji ' yake ya juzi ' Kiganja ' chake cha Mkono ndiyo kilikatwa na kuondoka / kuchukuliwa na hao ' Wauaji ' na kuuacha mwili wake ukiwa na majeraha mengine shingoni, machoni na tumboni.

Na kama zilivyo Kanuni Kuu za Kimafia dunia nzima ni kwamba Yule ambaye atakuwa kafanikisha ' mauaji ' ya Mtu fulani aliyelengwa basi ni lazima nae pia mwishoni auawe ili kufuta ama kuondoa kabisa ushahidi wote kitu ambacho ' Wauaji ' hawa walikifanya kwa ' Kumuua ' na Yule Dada ( Mwanamke ) pamoja na Marehemu na hatimaye mwishoni ikawa ' Mission Accomplished '.

Soma tu kimoyomoyo na ukishamjua ' Muuaji ' Mkuu wa Marehemu Chris Musando basi baki nalo pia moyoni. Mwishoni jiulize tu swali kwamba ni kwanini Marehemu alipoomba msaada wa Police hakupata ushirikiano ila baada ya kufariki jana Police wa Kenya wameonyesha ' Ushirikiano ' mkubwa Kwake ( Maiti ) huku wakiwazuia hadi Watu wengine sasa kwenda kuuangalia mwili wa Msando na kukataa kufanyike independent post-mortem ambapo hata Balozi wa Marekani nchini Kenya alikuwa tayari kuigharamia kutokana na kwamba hata wao Wamarekani ' wamechoka ' na haya mauaji ya ghafla na ya kusikitisha yanayotokea nchini Kenya kila uchao halafu Serikali haichukui hatua yoyote ile kuyakabili / kuyadhibiti.

Nawasilisha.
Kenya assassination ya watu maarufu haijaanza leo
Kumbuka kifo cha Tom mboya alivyopigwa risasi akitokea dukani kununua pyfume. ..enzi za Jomo kinyatta

Kumbukaka kifo cho Houko alivyotunguliwa kwenye ndege na mwili wake kuchomwa moto porini enzi za Arap moi..
Mauaji yapo mengi mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uskimbilie kwa moderators tuu
maana maneno mchafu umeyaanzisha wewe kwa kusindwa kujibu hoja af et unajisifia kuwatoa watu kwe reli

sio wote tnaakili za kukariri ka zako

Naona unavyozidi tu ' kuweweseka ' na ' dozi ' ya dawa aina ya GENTAMYCINE Mkuu. Pole sana na Mimi nimebobea mno katika ' Psychological War ' na naiweza kweli. Nilichokunyia hadi sasa hatimaye umetoka katika ' reli ' ni 3% tu ya ujuzi nilionao wa Vita vya Kisaikolojia je ningetumia 5% si ungesha log out kabisa ukalale? Twende Kazi Mkuu na leo ' nakesha ' hapa JF hivyo nimefuahi kulipata ' Boya ' la kulipelekesha ili linichangamshe na nisiweze ' Kusinzia '.
 
Natizama ' Likes ' ulizopata humu katika michango yako yote sioni hata moja. Tatizo lako ' Nyota ' Mkuu hivyo njoo nikupe mbinu ' ndogo ' ya kukufanya ukubalike na uwe kipenzi cha Watu ( Members ) hapa JF. Wewe unadhani ' signature ' yangu nilivyoiandika kwamba ' Purely Talented and Charismatic Fella ' nilikosea?
siko jf sabab ya kufurahisha watu
niko hapa kuwakilisha maoni yangu tuu!!!!!
so uko hapa kuteka akili za watu sabab ya like?
anyway kwa hizi comment 2 tatu znatosha kwa wenye akili kujua we ni mtu wa aina gani
 
Baada ya taarifa ya Kifo cha aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Tume ya Uchaguzi nchini Kenya IECB Bwana Chris Musando kutokea jana niliweza kujiridhisha ' Kitaarifa ' zaidi kutoka kwa ' Wadau ' mbalimbali wa Kenya ambao baadhi yao wanahusika moja kwa moja ya masuala ya Uchaguzi Mkuu ujao huku wengine wakiwa ni ' Wabobezi ' wa Investigative Journalism huko Kenya ambapo kwa pamoja walinithibitishia mambo makubwa saba ( 7 ) yaliyopelekea Kifo hiko cha ' Kikatili ' kabisa.

Yafuatayo ni matukio ambayo Marehemu aliyafanya siku nne ( 4 ) tu zilizopita kabla ya hayo ' Mauaji ' yake ya ' Kikatili ' kutokea hivyo nitayaweka hapa kwenu ili kila mmoja ayaangalie na ayafanyie ' tathmini ' mwenyewe ' Kimoyomoyo ' kisha mwishoni wote tutajua ni nani ' Kamuua ' Marehemu Chris Msando.

Tukio #1.
Kwa niaba ya Tume nzima ya IECB Marehemu alipeleka ombi Serikalini la kupewa Ulinzi wa Yeye na wenzake wote lakini hadi mauti yanamkuta hakujibiwa wakati alipopeleka maombi ya mengine yahusuyo ufanikishaji wa ' Oparesheni ' za IECB alijibiwa na kupewa ' Ushirikiano haraka sana.

Tukio #2.
Siku tatu kabla ya Kifo chake Marehemu alikwenda Police kupeleka taarifa za Yeye ' Kutishiwa ' maisha na Watu asiowajua lakini hakuna ' Ulinzi ' aliopewa hadi Umauti yanamkuta hiyo jana.

Tukio #3.
Marehemu huko nyuma alishapewa ' Onyo ' kali la kutozungumza na Chombo chochote cha Habari nchini Kenya na ' Mamlaka ' na kuambiwa kwamba Mtu pekee ambaye angetakiwa kuzungumza na Media basi ni Waziri tu husika wa Habari na Mawasiliano.

Tukio #4.
Siku mbili tu kabla ya Kifo chake Marehemu Msando ' alikaidi ' hiyo amri kutoka katika ' Mamlaka ' ambapo alikubali mualiko wa kwenda kufanya interview na Kituo Kimoja cha Television nchini Kenya ambapo aliyoyasema huko inasemekana kuwa ndiyo yaliharakisha ' mauaji ' yake.

Tukio #5.
Wakati akiwa ' mubashara ' kabisa akizungumza katika hicho Chombo cha Habari Marehemu alisikika ' akiwahakikishia ' Wakenya wote kuwa kwa jinsi alivyotengeneza ' Mfumo ' wa Kimawasiliano wa Tume ya Uchaguzi ya Kenya ya IECB hakuna Mtu yeyote yule atakayeweza ' Kuudukua ' hata iweje na akaenda mbele kusema kwamba Mtu akitaka ku ' hack ' taarifa zozote za Tume ya Uchaguzi IECB basi labda akatwe ' Kiganja ' chake kwani ili upate taarifa zao ni mpaka Yeye ( Marehemu ) atumie ' Kiganja ' chake cha Mkono ndipo Mtu mwingine apate taarifa za Tume.

Tukio #6.
Marehemu bila kujua mbinu za ' Kimafia ' na labda pengine alijisahau kuwa siku zote ukitaka tu ' Kuuawa ' Kimafia basi Mtu wako wa Karibu sana ama Nduguyo au Mpenzi wako au Rafiki yako tu wa karibu ndiyo hutumika sana kukumaliza. Marehemu usiku kabla hajafariki alifuatwa na ' Mwanamke ' ambaye inasemekana anamuamini sana ndipo huyo ' Mwanamke ' kwakuwa tayari alishapewa maagizo yote ya ' Kimafia ' ndipo akamtega Marehemu kuwa wapite barabara fulani ambapo kumbe huko mbele ' Wauaji ' wake wale ' Mafia ' walikuwepo.

Tukio #7.
Ili kuonyesha kuwa ama hakika ' Wauaji ' wake wa ' Kimafia ' walichukizwa na Kitendo cha Marehemu kwenda mbele ya Media na kusema kwamba safari hii katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya hakuna ' Udukuzi 'wowote utatokea kama ilivyokuwa Uchaguzi uliopita labda akatwe Kiganja ' chake ndipo hata katika ' mauaji ' yake ya juzi ' Kiganja ' chake cha Mkono ndiyo kilikatwa na kuondoka / kuchukuliwa na hao ' Wauaji ' na kuuacha mwili wake ukiwa na majeraha mengine shingoni, machoni na tumboni.

Na kama zilivyo Kanuni Kuu za Kimafia dunia nzima ni kwamba Yule ambaye atakuwa kafanikisha ' mauaji ' ya Mtu fulani aliyelengwa basi ni lazima nae pia mwishoni auawe ili kufuta ama kuondoa kabisa ushahidi wote kitu ambacho ' Wauaji ' hawa walikifanya kwa ' Kumuua ' na Yule Dada ( Mwanamke ) pamoja na Marehemu na hatimaye mwishoni ikawa ' Mission Accomplished '.

Soma tu kimoyomoyo na ukishamjua ' Muuaji ' Mkuu wa Marehemu Chris Musando basi baki nalo pia moyoni. Mwishoni jiulize tu swali kwamba ni kwanini Marehemu alipoomba msaada wa Police hakupata ushirikiano ila baada ya kufariki jana Police wa Kenya wameonyesha ' Ushirikiano ' mkubwa Kwake ( Maiti ) huku wakiwazuia hadi Watu wengine sasa kwenda kuuangalia mwili wa Msando na kukataa kufanyike independent post-mortem ambapo hata Balozi wa Marekani nchini Kenya alikuwa tayari kuigharamia kutokana na kwamba hata wao Wamarekani ' wamechoka ' na haya mauaji ya ghafla na ya kusikitisha yanayotokea nchini Kenya kila uchao halafu Serikali haichukui hatua yoyote ile kuyakabili / kuyadhibiti.

Nawasilisha.
Mkuu ndo maana mimi naipenda Tanzania na CCM, South Africa na ANC, Uganda na (Museveni), Rwanda na (Kagame), Burundi na (Nkurunzinza), Zimbabwe na (Mugabe), Congo na (Kabila) Huo ni uwongozi wa kutawala milele. Hii kitu inaitwa Democrasy na katiba mpya its confusing Kenyans. Democrasy iliwekwa na wamarekane kupata sababu zakutawala nchi za Africa kupitia vita pamoja nakuweka viongozi wabovu kupata resources. Ujamaa ndo suluhisho la Africa. Nataka Odinga akiingia madarakani aitawale Kenya hadi anakufa. That's the only African solution. Democracy is confusing many African countries. CCM hoyeeee!
 
Back
Top Bottom