EXCLUSIVE INTERVIEW: Nguvu ya pesa katika mapenzi ya kweli...

EXCLUSIVE INTERVIEW: Nguvu ya pesa katika mapenzi ya kweli...

Ngoja niiendeleze mimi Hii Interview

Unaposema Bado haumini kama Kuna Mapenzi Ya Kweli kati Yenu, Huoni kwamba hauko Serious?

Hivi Kuna Uhusiano Gani wa kukaa miaka Miwili bila Kujua nini mwenzako anawaza Juu Yako?

Ow sorry ndio naipata now...
Mapenzi ya kweli ni pamoja na kupendana kwenye shida na raha maradhi na vitu vingine kama hivyo...
Sasa mimi nasema "bado sijajua kama ni ya dhati " kwa sababu katika kipindi cha mahusiano yetu tumekuwa na raha tuu hatujapitia mateso shida maradhi kufilisika....endapo tutapitia hqyo ndipo nitakapoweza kusema mapenzi yetu ni ya dhati au lah.
 
Cutie....
nikwambie tu, mi nimtaalamu wa midahalo!!
sema majukumu yanabana mnoo...
njoo basi tupige pige...
kama unapatikana!!
cute b
 
Last edited by a moderator:
Uje leo mkuu

now? tuendelee sasa pale tulipoishia..
uliniambia una boyfriend na mpaka sasa uhusiano wako una miaka miwili!!...
swali, huyo jamaa yako mnaishi karibu?
 
now? tuendelee sasa pale tulipoishia..
uliniambia una boyfriend na mpaka sasa uhusiano wako una miaka miwili!!...
swali, huyo jamaa yako mnaishi karibu?

Hapana hatuishi karibu...tupo mikoa tofauti...
 
Sasa niko vyema...sogeza kiti sasa tuendelee
 
Nipo mkuu nimekunja nne na maji pemben

Sawa jibu swali langu sasa nini kinaupa uhusiano wako nguvu, nadhani hapa huwezi kutaja love, coz mwanzoni ulisema huna uhakika kama una true love
 
yaani uhusiano wenu, nini kinaupa nguvu?

Kinachoyapa nguvu mahusiano yetu nazani ni kuwekana bize....kwamba nina boyfriend nikiwa bored namtafuta ...nikiwa na tatizo namshirikisha ananishauri. Na pia nikim miss nampata..
Hayo tuu mkuu...
 
Back
Top Bottom