MBEGU YA BINADAMU
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 375
- 317
1. Ni kwa nini unaomba kuiongoza nchi ambayo ulizunguka Mataifa mbalimbali ya mabeberu kuichafua
2. Ulisema Raisikuzuia makinikia bandarini nchi yetu itashitakiwa na kufilisiwa. Je, wewe ukiwa Rais utawaruhusu mabeberu kufanya lolote walitakalo katika nchi yetu?
3. Sera zako siku zote ni kusema ubaya ya JPM na uhuru wa vyombo vya habari na haki. Je, kwa kipindi chako chote cha miaka 5 utashughulika na JPM na uhuru wa vyombo vya habari pekee?
5. Unasaga sana maendelea ya vitu. Imekuaje leo unawaahidi watu wa ukerewe kuwajengea daraja la kuwaunganisha na Bunda?
2. Ulisema Raisikuzuia makinikia bandarini nchi yetu itashitakiwa na kufilisiwa. Je, wewe ukiwa Rais utawaruhusu mabeberu kufanya lolote walitakalo katika nchi yetu?
3. Sera zako siku zote ni kusema ubaya ya JPM na uhuru wa vyombo vya habari na haki. Je, kwa kipindi chako chote cha miaka 5 utashughulika na JPM na uhuru wa vyombo vya habari pekee?
5. Unasaga sana maendelea ya vitu. Imekuaje leo unawaahidi watu wa ukerewe kuwajengea daraja la kuwaunganisha na Bunda?