Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
Wewe ni jobless hakika,kisa cha kufatilia utoto wote huu ni nini?Halafu sorry,we ni jinsia gani?
 
Naomben msaada juu ya kuandika post huku jf maana nashindwa
 
Na Wauza Mafriji je ? Ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! :llama:
 
Na Wauza Mafriji je ? Ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! :llama:
wauzaji mafundi eeeeheeeee mbona cheo kikwabwa sana umetoa!!!????? eeeeheeeeee usisahau na sembe ndukiiiiiiiiiiii
 
Pamoja na uzee kupiga hodi mkuu Pasco ....lakini ng'ombe hazeeki maini .......hebu pitisha jicho kiduchu hapa burudani ya macho ........



attachment.php
 
Last edited by a moderator:
kama wewe vile
sijajua kwa nini humpendi matola
yaani whatever he is doing kwako ni kibaya
how come u hate anonymous like this?
dah sijui yani mbona wengine hatuko hvyo...!!!
just change my bro
life is too short u never know who is gonna hold ur hand
pindi ukiwa na shida

Tena huyu IFRS ni mmbea kutwa yupo nyuma ya mleta Uzi una nini wewe baba???unafanya nini jukwaa hili???Kama Matola mmbea usiwe unafungua kusoma thread zake.....inaonekana unapenda sana udaku na unamkubali matola bila kujijua
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na uzee kupiga hodi mkuu Pasco ....lakini ng'ombe hazeeki maini .......hebu pitisha jicho kiduchu hapa burudani ya macho ........



attachment.php

Asante kwa kunikumbusha hii ni bonafide genuine Pasco
 

Attachments

  • 1422882936971.jpg
    1422882936971.jpg
    85.9 KB · Views: 402
Last edited by a moderator:
Hivi mkuu wewe huna shughuli za kufanya?

As far as I know watu makini hawana muda mchafu kama huu wa kutumika just like you

Eti nimepewa ruhusa na mumewe...... Seriously?

Haya mambo ya mitandao wenzio tuna comment just for fun especially jukwaa la maceleb, but you take it so serious mkuu, unatumia nguvu mnno
Juhudi hizi unazofanya humu zihamishie kutafuta maisha yako utakuwa mbali

Take a breath dear...
Hii kama sio useful kwako basi sie kwetu ni useful

Kina Invisible na wenzake walifikiria mengi sana kuanzisha majukwaa tofauti tofauti na kuruhusu nyuzi nyingi bila kikomo wakijua kila mtu jicho litagota apatakapo ama kuhamia sehemu nyingine ikiwa atatua pasipomfaa!
 
Last edited by a moderator:
Tena huyu IFRS ni mmbea kutwa yupo nyuma ya mleta Uzi una nini wewe baba???unafanya nini jukwaa hili???Kama Matola mmbea usiwe unafungua kusoma thread zake.....inaonekana unapenda sana udaku na unamkubali matola bila kujijua

Wapi nimesema matola ni mmbea nafikiri una lingine zaidi ya hili.
Uzi unamzungumzia Linda lakini wewe umestick kuwazungumzia third parties.
Watu tunapowazingua akina matola,lala 1 au le mutuz sio kwamba hatuwapendi ila ni kuchangamsha jukwaa tu.
Naamini Brenda18umenielewa
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom