Information za Obama kila mtu anazijuwa, wewe kama document unayomiliki ni kikadi cha mpiga kura tu hapa utaweka nini.
Hapa ni JF tunacheza fair game na record zinawekwa clear na wale waliokuwa wanadanganywa hapa ndio ujiona wajinga na ndio maana watu makini hawana muda na blogs za watu kujipamba na kuattack wengine.
Visa yake ni ya ku forge. Tusubilie mwisho wake. Mnataka kuwa kufirahisha anonymous haya