Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Exclusive: Ukweli kuhusu Linda Beizudenhout na status yake

Status
Not open for further replies.
Hhhhhaaaaaa,,zari ana akili sana kakaa kimya hata kubishana na machizi, ,maana hamfikii hata robo,,hafikishi habari inavyotakiwaa ila mange kichaa

Hivi Zari mwenyewe hata kiswahili anajuwa kusoma kweli? Na sidhani kama hata anajuwa kuna kiumbe kinaitwa Mange.
 
Eti kisa nlimwambia zels tusimhusishe Mungu kwenye the fun we are having! Somebody wants me to mourn here!Mungu sio athumani people... ..

Achana nae na ukiona magazeti yamezidi unajua nani anaandika magazeti kama hayo, There is nothing funny kumuhusisha Mungu kwenye vitu kama hivi
 
Its fan (shabiki) sio fun or funny (kichekesho/ kicheko)

Nehiiiiii nehiii nehiiii! Noooooo! DIE HARD FUN as DIE HARD is a DESCRIPTIVE ADJECTIVE and FUN a noun. Sasa tatizo likowapi hapo English STD 4 hio tukeshe hapa?

Alafu Mimi expectation zangu Leo ingekuwa kumpelemba MALKIA ila mzimu Wa LA umetawala huu ukaribisho. Kweli Hanna amani ya bwana rohoni mwenu. Hivi wrote mnge ni ignore is ningeumbukaaa!! Team LB hoyeeeeeeee.
 
Hivi Zari mwenyewe hata kiswahili anajuwa kusoma kweli? Na sidhani kama hata anajuwa kuna kiumbe kinaitwa Mange.

Akijulie wapi? na Waganda walivyo na dharau ndo kwanza atakuwa anajiulza who is she? wewe angalia hata kwake akiposti kitu ni wabongo ndo wana comment sio waganda wenzake hao watu wanadharau bwana.
 
Nehiiiiii nehiii nehiiii! Noooooo! DIE HARD FUN as DIE HARD is a DESCRIPTIVE ADJECTIVE and FUN a noun. Sasa tatizo likowapi hapo English STD 4 hio tukeshe hapa?

Alafu Mimi expectation zangu Leo ingekuwa kumpelemba MALKIA ila mzimu Wa LA umetawala huu ukaribisho. Kweli Hanna amani ya bwana rohoni mwenu. Hivi wrote mnge ni ignore is ningeumbukaaa!! Team LB hoyeeeeeeee.

Hakuna cha die hard fans hapa sie tunaongea facts tuu na Linda tumesema hakuwa na haja ya ku prove nothing kwa sababu wewe Mange tumekuzowea ni MUONGO sana,Ulikuwa unataka wale misukule wako waamini Linda ni mkimbizi mtoto wa Linda hajamaliza high school acha uzushi wewe, mie nataka unijibu maswali yangu FULLSTOP, usidhani tumesahau.
 
Hivi Zari mwenyewe hata kiswahili anajuwa kusoma kweli? Na sidhani kama hata anajuwa kuna kiumbe kinaitwa Mange.

Anajua lakini hana habareeee na vifukurukwinyo
 
Hhhhhaaa ameona ajikalie kimyaa urafiki na huyo hapana kabisaaa bora akae mwenyewee

Bora amkwepe, Wema ana akili zake....angeanikwa hadi pichu nje....

Ila sio kosa lake...kulelewa na Mama wa kambo kumemuathiri, tuliolelewa na mama zetu tushukuru Mungu.
 
Hakuna cha die hard fans hapa sie tunaongea facts tuu na Linda tumesema hakuwa na haja ya ku prove nothing kwa sababu wewe Mange tumekuzowea ni MUONGO sana,Ulikuwa unataka wale misukule wako waamini Linda ni mkimbizi mtoto wa Linda hajamaliza high school acha uzushi wewe, mie nataka unijibu maswali yangu FULLSTOP, usidhani tumesahau.

Halleluyaaaaaaaa! For a minute nikajua MTA nii ignore kweli! Looh! Wacha kijiba kinibane! Hahaaaaaa!

Mi nishakuwa Mange tenaa! Tobaaaaaaaa! Mimi in shabiki kindakindaki. Akinya barabarani nasapoti. Kumbe je kama kabanwa na uharo mlitaja ajiharishie mseme chiziii? Bora kavua kanya kaonekana ana akili ila alizidiwa tu na gumbo. Hahahaaaaaaa!

Kwa hio yule binti ana makaratasi ya kuishi kule eeeeeh! OKAY! Mbona kama hapo juu sijayaonaaa! Sijui macho yangu mabovu? Embu Fanya kuniambatanishia ki green card chake kama hivi. Na kama hana haja ya kuji explain lengo la huh Uzi no mini?
Afu huu Uzi ni EXCLUSIVE about Linda Mange anaingiaje hapo? Si tutakuwa majuha kuijadili ushindi wa Yanga kwenye kujiliwaza baada kipigo chenu Simba! Maswali weka kiporo ikija Exclusive real house wife Wa LA jimwageee. Uongo Matola?
Mie kazi yangu Leo kuwapa kamba tu mmoja mmoja hamni angushi.
 
Last edited by a moderator:
Nehiiiiii nehiii nehiiii! Noooooo! DIE HARD FUN as DIE HARD is a DESCRIPTIVE ADJECTIVE and FUN a noun. Sasa tatizo likowapi hapo English STD 4 hio tukeshe hapa?

Alafu Mimi expectation zangu Leo ingekuwa kumpelemba MALKIA ila mzimu Wa LA umetawala huu ukaribisho. Kweli Hanna amani ya bwana rohoni mwenu. Hivi wrote mnge ni ignore is ningeumbukaaa!! Team LB hoyeeeeeeee.

Si bora STD 4 kuliko wewe mwenye degree ya online dubai na bado una sound kama hujawahi attend shule.Wewe mshukuru Mungu kwa kukupa mzungu maana hakuna mtanzania mwenye akili zake angeweza kukuoa wewe na matusi yako mtandaoni, Frank ana baby mama sijui wanne lakini anakwambia angekuwa ana uwezo wa kumbadilishia Bhoke mama angafanya hivyo fastaa, unatia aibu mwanamke kila mtu kwako mbaya
 
Halleluyaaaaaaaa! For a minute nikajua MTA nii ignore kweli! Looh! Wacha kijiba kinibane! Hahaaaaaa!

Mi nishakuwa Mange tenaa! Tobaaaaaaaa! Mimi in shabiki kindakindaki. Akinya barabarani nasapoti. Kumbe je kama kabanwa na uharo mlitaja ajiharishie mseme chiziii? Bora kavua kanya kaonekana ana akili ila alizidiwa tu na gumbo. Hahahaaaaaaa!

Kwa hio yule binti ana makaratasi ya kuishi kule eeeeeh! OKAY! Mbona kama hapo juu sijayaonaaa! Sijui macho yangu mabovu? Embu Fanya kuniambatanishia ki green card chake kama hivi. Na kama hana haja ya kuji explain lengo la huh Uzi no mini?
Afu huu Uzi ni EXCLUSIVE about Linda Mange anaingiaje hapo? Si tutakuwa majuha kuijadili ushindi wa Yanga kwenye kujiliwaza baada kipigo chenu Simba! Maswali weka kiporo ikija Exclusive real house wife Wa LA jimwageee. Uongo Matola?
Mie kazi yangu Leo kuwapa kamba tu mmoja mmoja hamni angushi.

Kwanini tuku ignore? ili useme umeshinda? na sisi tunajifanya hazimo sasa leo tutakesha hapa maana wengine hatu clock in and out, na hakuna sehemu imeandikwa Mange asinijibu maswali yangu, ebu jibu tafadhali au niyarudishe usome tena?
 
Last edited by a moderator:
Halleluyaaaaaaaa! For a minute nikajua MTA nii ignore kweli! Looh! Wacha kijiba kinibane! Hahaaaaaa!

Mi nishakuwa Mange tenaa! Tobaaaaaaaa! Mimi in shabiki kindakindaki. Akinya barabarani nasapoti. Kumbe je kama kabanwa na uharo mlitaja ajiharishie mseme chiziii? Bora kavua kanya kaonekana ana akili ila alizidiwa tu na gumbo. Hahahaaaaaaa!

Kwa hio yule binti ana makaratasi ya kuishi kule eeeeeh! OKAY! Mbona kama hapo juu sijayaonaaa! Sijui macho yangu mabovu? Embu Fanya kuniambatanishia ki green card chake kama hivi. Na kama hana haja ya kuji explain lengo la huh Uzi no mini?
Afu huu Uzi ni EXCLUSIVE about Linda Mange anaingiaje hapo? Si tutakuwa majuha kuijadili ushindi wa Yanga kwenye kujiliwaza baada kipigo chenu Simba! Maswali weka kiporo ikija Exclusive real house wife Wa LA jimwageee. Uongo Matola?
Mie kazi yangu Leo kuwapa kamba tu mmoja mmoja hamni angushi.

Umeona tofauti, sie Linda akinya barabarani tutaona karogwa!
 
Last edited by a moderator:
Si bora STD 4 kuliko wewe mwenye degree ya online dubai na bado una sound kama hujawahi attend shule.Wewe mshukuru Mungu kwa kukupa mzungu maana hakuna mtanzania mwenye akili zake angeweza kukuoa wewe na matusi yako mtandaoni, Frank ana baby mama sijui wanne lakini anakwambia angekuwa ana uwezo wa kumbadilishia Bhoke mama angafanya hivyo fastaa, unatia aibu mwanamke kila mtu kwako mbaya

Ooh please she is not that psycho Mange, yeye ni shabiki kindaki ndaki hata Mange akinya barabarani anakwambia atasupport!Ushabiki wa namna hii unahitaji moyo sana
 
Zari hata wakimtusi sidhani kama ataumia yule,mtu video imevuja na dildo yake hajanywa sumu iwe matusi

Hahahaaa yule katisha, tena kesho yake kapiga picha mkaavuu katupia IG....

Ngoja nifanye awe role model wangu....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom