Unajua aliyeshika makali.....
19MillionWatu walioandikisha ni Million 9 naa hivi, hadi sasa zilizohesabiwa hazijafika 2M
Sent using Jamii Forums mobile app
Raila kazi anayo,kura laki 4 atazifidishia vipi?Uhuru kaongeza 1.6 million kwa 1.3 za Raila
1.6 - 1.3 = 0.4?Arego bado
Raila kazi anayo,kura laki 4 atazifidishia vipi?
Tumeshakuelewa mkubwa na tutafurahia wengi kabisaPoleni ccm, si kwa povu hilo. Yaani Raila akidondoshwa nitakula Balimi balaa, kinyume chake nitalia sana. Mimi mtz, msiniulize kwa nini
Mkuu kwa binadamu wa kawaida kabisa asiye mnafiki lazima amkubali UhuruNampenda huyu jamaa pamoja na mapungufu yake kama binadamu na kiongozi lakini kwenye kuleta maendeleo kwa Wakenya anajitahidi sana.
Sio 9m ni 19mWatu walioandikisha ni Million 9 naa hivi, hadi sasa zilizohesabiwa hazijafika 2M
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa itoshe tu kusema kuwa ccm ccm keshapigwa za shingoKuna kaunti Uhuru kapigwa vibaya sana ila odinga ajiandae tu awamu ijayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashashindwa huyo arudi tu kisumu kuvua samakiArego bado
Raila kazi anayo,kura laki 4 atazifidishia vipi?
Hujui kuwa rafiki yetu kipenzi kashindwa?Naona TeamRaila wanapumulia mipira...ahahaha!
Naona TeamRaila wanapumulia mipira...ahahaha!
Anatakiwa apate extra laki tatu ili aweze kulead vizuri ,thats why i said laki nne.1.6 - 1.3 = 0.4?
Hahahahaha,Kisumu tena mwanzako anaishi KAREN KWA WENYENAZO.Ashashindwa huyo arudi tu kisumu kuvua samaki