Natumia laptop,situmii simu.Geuza tu simu, maana napiga uzuri tu zikija kwenye kutokea huku zinatokea hivyo may be picha ni kubwa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza zoom kwa laptop na utaona tu vizuriNatumia laptop,situmii simu.
Dont worry im following live hapa Citizen TV
..it's very disappointing..Eeeeh but its very disappointment...
Nairobi hakuna anayeweza kushinda kwa landslide na hakuna aliyewahi kushinda Nairobi kwa landslide kutokana na mchanganyiko mkubwa wa watu na kikabila.Hata mimi nahisi Raila kashinda kwa Land slide Nairobi,ndo maana matokeo yanachelewa.Nashangaa Mji mkuu hadi sasa matokeo bado wakati miundo mbinu ya kitecnolojia ya mawasiliano hapo ndo kwake.
Duh, geuza laptop.Natumia laptop,situmii simu.
Utasubiri sana Uhuru raisNairobi hakuna anayeweza kushinda kwa landslide na hakuna aliyewahi kushinda Nairobi kwa landslide kutokana na mchanganyiko mkubwa wa watu na kikabila.
Kwa safari hii, ukiongeza na power of incumbency, kadiria Raila kupata wastani wa si zaidi ya 55% kwa 45% za Uhuru.
Yeah very trueInabidi wazaliane sana ili waweze weka mtu wa kwao Ikulu,hahahahahahhaah
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]waambie mkuuHivi nyie mnaoleta u Chadema na UCCM humu mnamaanisha nini?Kenya na Tanzania ni tofauti sana .Kijito na Bahari.Toeni UCCM na Uchadema hapa.
Mimi nilitaka Raila ashinde. Lakini baada ya kuona Magufuli anataka Raila ashinde, basi nimehama time. Nataka Uhuru ndo ashindeMi sijui nielekee upande upi jubilee siwapendi ila nataka washinde ili kupunguza uwezekano wa inchi mbili jirani kufanana
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh tehMimi nilitaka Raila ashinde. Lakini baada ya kuona Magufuli anataka Raila ashinde, basi nimehama time. Nataka Uhuru ndo ashinde
ni mwendo wa kula sosho tu hatujali kila mtu apambane na hali yakeDuh, geuza laptop.