tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
umepiga kura kwani?Mimi nilitaka Raila ashinde. Lakini baada ya kuona Magufuli anataka Raila ashinde, basi nimehama time. Nataka Uhuru ndo ashinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umepiga kura kwani?Mimi nilitaka Raila ashinde. Lakini baada ya kuona Magufuli anataka Raila ashinde, basi nimehama time. Nataka Uhuru ndo ashinde
Like meMimi nilitaka Raila ashinde. Lakini baada ya kuona Magufuli anataka Raila ashinde, basi nimehama time. Nataka Uhuru ndo ashinde
besti mambo. Yani kila nikiacha kubeba boksi kuja kuangalia matokeo nakukuta10 millions vote bado hazijahesabiwa.
Haahaha mimi nipo,holidays sasa hivi wewe unabeba box?besti mambo. Yani kila nikiacha kubeba boksi kuja kuangalia matokeo nakukuta
Trondheim utakuja lini?Haahaha mimi nipo,holidays sasa hivi wewe unabeba box?
Halafu unaishia gamle hjem.ni mwendo wa kula sosho tu hatujali kila mtu apambane na hali yake
Kama waJaluo wanatamani hayo basi wamchague mwingine wao asiye mnafiki ,mwenye kupenda maendeleo ,amani na siasa zinazozingatia sera.Huyu jamaa Odinga is not level headed ,no responsible na anajipenda zaidi kuliko nchi yake.Eeeeh but its very disappointment to luo people ambavyo wanatamani MTU wao atawale kenya
Lowassa kawaambia washangilie na kuzungurusha mikono kwakuwa eti ya yeye atashinda 2020 kwasababu Uhuru kashindaMimi sio shabiki wa hivyo vyama venu mkuu, but I wonder why mko so low,
Hadi mnatumia matokeo ya uchaguzi wa Kenya kufariji nafsi zenu to that extent, halafu kwa nini unywe balimi kwa matokeo ya Kenya? Mbona uko na stress hivyo jamaa?
Don't take life that serious..
You guys seem too broke,
Unafuta machozi?TEAM M4C TEAM UHURU
raila hawezi shinda alijifanya mjanja na sizonje wake
Duuh!Lowassa kawaambia washangilie na kuzungurusha mikono kwakuwa eti ya yeye atashinda 2020 kwasababu Uhuru kashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nialike basi,huku Uncle Magu kabana hakuna safari.Trondheim utakuja lini?
naona ushakubali matokeo[emoji1] [emoji1] [emoji1]Unafuta machozi?
Nilishakubali kuwa Magufuli ndiye Rais wa Awamu ya Tano hapa Tanzania.naona ushakubali matokeo[emoji1] [emoji1] [emoji1]
mwambie ampeleke lubuva akamsaidia na vp kile kituo cha kuesabia kura [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilishakubali kuwa Magufuli ndiye Rais wa Awamu ya Tano hapa Tanzania.
Haisaidii kitu. Wewe ngojea 2020 uzungushe tena mikono na kupiga deki barabara.mwambie ampeleke lubuva akamsaidia na vp kile kituo cha kuesabia kura [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahaKisha nimeabir treni zetu za sgr baby[emoji3] [emoji109] [emoji191] View attachment 560958