EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Almost the game is over.
Sioni tena nafasi ya Raila kugeuza matokeo hayo. Uhuru ni mshindi.

Mpaka sasa kura zilizohesabiwa ni zaidi ya nusu ya watu wote waliojiandikisha.
 
20635360_1941685729376846_4924348006804750336_n.jpg
 

Attachments

  • 20634621_108666386490924_2204620229298880512_n.jpg
    20634621_108666386490924_2204620229298880512_n.jpg
    13.7 KB · Views: 28
Wadau hadi sasa Uhuru Kenyatta ana kura 5,447,235 sasa na 55.21% wakati Raila Odinga kura 4,340,805 sawa na 44%. Vituo vilivyohesabiwa 26,279 kati ya 49,883. Stay tuned .
 
Mpaka sasa matokeo kutoka kwenye asilimia 43% ya vituo vyote vya kupiga kura yametolewa na kuonyesha kuwa Uhuru Kenyatta anaongoza kwa tofauti ya kura zaidi ya Laki Sita.

Toka matokeo ya kura yaanze kutolewa Uhuru Kenyata mpaka sasa amekuwa akiongoza...

Mchuano bado ni mkali na mtamu japokuwa upepo wa ushindi unazidi kuelekea kwa Uhuru Kenyatta.

[HASHTAG]#TEAM[/HASHTAG] UHURU.
Ccm kwisha habari zao

In God we trust
 
Hakuna watu wanaishi kwa matumaini makubwa kama wafuasi wa Raila. Kila IEBC wanapotoa matokeo utawasikia "bado ni mapema sana, subiri kidogo, kuna ngome zetu bado, huoni asilimia zinapanda, na maneno mengine meeengi kama wagonjwa wa ndui"

Yani nikiwasililiza nacheka tu. Kwanza hawaamini kama wamechezea "vitasa vya uso" hadi muda huu. Walitegemea matokeo ya awali waongoze but imekuwa kinyumeche. So wamepagawa. Pili wanaamini eti kuna ngome zitawapa ushindi, wanasahau kuwa Kenyatta nae ana ngome zake pia.

Tatu kuhusu percentage wanasema Raila anapanda. Hii ni kwa wasiojua hesabu tu ndo watashangaa. Lakini kwa anayejua hesabu sio jambo la kushangaza. Hata Anna Mghwira siku ya kwanza alipata asilimia zero then akaanza kupanda polepole hadi zero nukta kadhaa. Na logic ni kuwa kura zinapokua chache aliyeongoza anakuwa na percentage kubwa lakini percentage inapungua kadri kura zinavyozidi kuongezeka.

Kwa mfano kura zikiwa 10 mimi nikapata kura 9 na ww moja, it means nimepata 90% na wewe 10%. Lakini kura zikawa 1000 nikapata 700 na wewe 300 means nitakua na 70% na wewe 30%. So sio jambo la ajabu. Probability ya percentage kuongezeka au kupungua kwa kadri kura zinavyozidi kuhesabiwa ni jambo la kawaida. Hii ni topic ya "probability" form 2 A. Vijana wa Raila hamkusoma hii?

We hujiulizi inakuaje Raila percentage zinaongezeka ila anazidi kuachwa kwa gap kali la kura. Matokeo ya awali Uhuru alikua na laki 3 na Raila laki 2 plus, means tofauti ya kura laki moja plus. Baadae Uhuru 500K+ na Raila 300K+ means tofauti ya kura 200K+. Badae Uhuru 900K+ na Raila 600K+ means tofauti ya kura 300K+. Badae Uhuru 1.7M+ na Raila 1.3M+ means tofauti ya kura 400K+. Sasa hivi Uhuru 3.3M+ na Raila 2.6M+ means tofauti ya kura 700K+.

Hii ina maana kwamba kila matokeo yanapotangazwa Raila anazidi kuachwa nyuma kwa kura nyingi sana. Mwanzoni kabisa alikua na gap ya kura laki moja. Lakini sasa hivi ana gap ya kura laki 7. Halafu wafuasi wake wanabana pua kama Hamorapa eti "Raila anapanda". Anapanda kwenda wapi? Labda darini.

Jiandaeni kisaikolojia kupambana na hali zenu wazee. [HASHTAG]#UhuruTanoTena[/HASHTAG].!
Umewasaidia sana kama hawajaelewa wakaungane na bashite kutafuta ukuuu wa mkoa! Simple mathematics unaweza kuwa umemzidi mwenzio kwa % moja lakini ukiibadili hiyo 1% ni sawa na wapiga kura million moja na ndio hicho kinatokea! Kadri idadi inavokuwa kubwa basi asilimia moja inabebwa na watu wengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
822b3bc520b0c5a5ef7a2ab1b4326913.jpg

povuuu..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116]
e6d64942bd800e01455ec71c07817ec5.jpg

jibu zuri..[emoji122] [emoji122][emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122]
cf76c20f1064de12e700ae6f531cfc43.jpg
Ali kiba kuwapigia kampeni NASA si jambo la ajabu... Kumbuka Ali kiba matamasha mengi nchini Kenya huwa anadhaminiwa na HASSAN ALLY JOHO (Gavana Mombasa) Ni sawa na Diamond kumpigia kampeni BASHITE (Mlezi WCB)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom