EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Mimi nataka Sonko ashinde tu, basi.

Hao wengine wala sijali.
 
Odinga chaliiiiiiiiii pwaaaaaa
 
73% reporting
Uhuru 6.1 million votes
Raila 4.9 million votes

Kuna tetesi kwamba Raila hayatambui matokeo, kama hili ni kweli basi nahofia uvunjifu wa amani Kenya.
 
73% reporting
Uhuru 6.1 million votes
Raila 4.9 million votes

Kuna tetesi kwamba Raila hayatambui matokeo, kama hili ni kweli basi nahofia uvunjifu wa amani Kenya.

Chapa viboko tu hao
 
Mh! Panga zinaanza kucharangwa usiku huu wakati yeye atakimbilia Tanzania akahifadhiwe na nanihii.

Kumekucha....[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Waafrika ndivyo tulivyo.
Yaani tupo radhi wafe mradi tupate madaraka.

Tumelaaniwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa sijui Kibaki alinufaika na nini tu!!

Halafu ule ulikuwa ni wizi dhahiri kabisa yaani.

Kwa hiyo Raila kuwa na wasiwasi juu figisu ana sababu inayoeleweka.

Ni rahisi kumwambia yeye akubali matokeo lakini si rahisi kuwaambia wezi walio na madaraka kuacha wizi wao.
 


Mpaka sasa kimeshanuka huko. Raila hatambui matokeo yoyote mpaka sasa kwani matokeo yanayotambulika kisheria ni kutoka FORM 34a ambayo tume ya uchaguzi ilitakiwa iwe imeupload kwenye system. Ukienda Twitter utaona hadi odinga ameshatoa tamko. Wakenya wengi wanatweet tume iache Uzembe huo kwani they have jobs to go and schools to attend.
 
Nakuelewa vizuri NN

Ila kwa uchaguzi huu nionavyo mimi Odinga hakuwa wakushinda. Or hajashinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…