EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Wadau hadu SAA 9 kamili usiku huu matokeo Uhuru Kenyata 6,300,000 wakati Rails Odinga 5,130,000. Vituo vilivyohesabiea 30,000 kati ya 40,000
 
Raila ana haki ya kupinga kwanza serikali ya jubilee ilimuua Mkuu wa IT then wanaleta matokeo ambayo hayapo kny fomu Kenya sijui kama mnaitakia mema nchi yenu hiyo ya kusema kenya nzima ni ya wakikuyu na wakalenjin tu hamfiki popote hakuna mwenye haki zaidi pale




Argue don't shout
 
Chama cha NASA kimewayaka wanancji kudai haki yao na kupuuza matokeo yanayo tangazwa,ni baada ya IEBC kuendelea kutangaza matokeo ya urais bila kutoa utjibitisho wa form 34,hii ni fomu inayosaoniwa na kuthibitishwa na mawakala katika kituo cha kupiga kura,sheria inaitaka IEBC kutangaza matokeo pale ambapo itathibitisha fomu 34 kutoka kwenye kituo kwa njia ya kielektroniki,baada ya viongozi wa nasa kuomba angalao baadhi ya uthibitisho saa 8 usiku hadi sasa hawajapewa saa 11,na wahusika wa It hawapatikani.
 
Mpaka saa tisa za usiku matokeo yaliyopokelewa kutoka kwenye vituo 30673 kati ya vituo 408830 Rais Uhuru Kenyatta amepata kura 6331140 sawa na asilimia 55. 27% wakati Raila Odinga amepata kura 5031737 sawa na asilimia 43. 92.
Magavana Kidero wa Nairobi. Issac Ruto wa Bommet na Peter Munya wa Meru wamepoteza nafasi zao.
 
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…