BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Nazan mwenye uchu ni anayeua kwa ajili ya madarakaMwambie kwanza Raila aache uchu wa madaraka
kwenye system siyo tu nywila inatumika kuna vingi lakini kama marehemu ameonekana ameweza kuingia kwenye system basi kuna tatizo sehemuUhuru angeachana na kuhack matokeo tu akubali kushndwa ata wananchi wakija wakauana ataanza tena kesi za ICC na sasa wamarekani wamamleta Kerry waziri wa mambo ya Nje aliyepta wa USA pale kama mwangaliz ...ukiunganisha dot za kuuwawa IT Director wa Tume ya uchaguzi kenya na hizi fujo uhuru hatakua na pakuchomokea watampin asiamn ...aombe Mungu damu isimwagike ila awamu hii yeye na Rutto hawatachomoka...tatzo walivamia Tally Centre ya NASA nairobi wakajua wanemmalizia Raila bt Raila akawaambia anazo nyingi leo wamepata majibu cz system ya tume ya Uchaguzi IT specialist wa NASA anasema mpaka sasa Admn si mtu wa Tume ya Urais Kenya na Marehemu Msando it's like anaonekana Amelog In which means waliomtesa na kumuua watakoa walimtesa mpaka akawapa password. ..time Will Tell Uhuru and Rutto Wakenya wakiuana Watawajibika...Kikuyu Cartel must allow free and fair Election
Unampenda sana Mbowe eeh!Jamaa zake Mbowe hao
Brother, are you that bussy?Daaah.... Kenyans poor you
hapana,. devolved government governor ni kiongozi mkuu ana madaraka makubaHii nafasi ya sijui kwa hapa bongo ni sawa na udiwani? maana nashangaa kuna jama mmoja ni kichwa sana anaitwa ALFRED MUTUA aliwahi kuwa msemaji wa serikali kwa nini asigombee ubunge apate UWAZIRI?
kwani wao wamekuwa watanzania wa ndio mzee,acha watu wapiganie haki zao nyie watanzania mnaoongozwa kama manyumbu endeleeni hivyo hivyoHawa jamaa hii kitu itawagharimu sana, si wakubali yaishe.
Wrong ,hawa ni waJaluo ndio tabia yao.
Mim Nimekuelewa Sijui Sasa Kama Mleta Mada Kama KakuelewaHuwezi kumuunga mkono mgombea urais ambaye anasema atatawala kama Magufuli, Magufuli ni dikteta asiyefuata utawala wa sheria anaamini utawala wa One man show ambao ni mfumo wa madikteta yote duniani, hivyo Wakenya hawahitaji rais jamii ya Magufuli, Kagame, Nkurunziza na Museveni maana wao wanaamini katika utawala wa kidemokrasia
Hilo la kusema Maamuzi ya tume ni final ni upumbavu kabisa. I hate these shits from this Government.Nimependa sana tume ya uchaguzi ya Kenya. Baada ya Raila kulalamika kwamba matokeo ya kwenye mtandao sio sahihi yamedukuliwa, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kajitokeza na kusema matokeo ya kwenye luninga yasichukuliwe kama ndiyo ya mwisho. Pia kaanzisha dawati ofisi za tume na kuruhusu wawakilishi wa vyama waende wakaangalie matokeo yanayo toka vituoni kama yana fanana na ya wawakilishi wao. Tanzania tunaambiwa maamuzi ya tume ni final. Huu ni upuuzi usio wa kidemokrasia. Nawapongeza Wakenya
Sent using Jamii Forums mobile app