EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

> Gari moja lenye namba za usajiri bandia za KBY 840C likiwa katika msafara unaolindwa limekamatwa na Maafisa wa Jeshi la Polisi na kukutwa na karatasi za kura ziliwe zimewekewa alama kwa Wagombea wa Jubilee. Limekamatwa huko traveling under escort found carrying (KIEMS) Mandera, Banissa.


AFRIKA INAFANANA SANA.
 
Odinga ana gundu sana kamwe hatoweza kushinda huu uchuguzi kabisa na wala sio kwamba ataibiwa kura....
 
Odinga atashindwa katika jina la Yesu ,Amen .That man is not fit to rule or fit for the presidency hata kidogo.
Nazan ungesema atashindwa ingetosha. ..Usilitaje jina la Bwana Mungu wako bure...pale hafanyi dhambi kugombea anatimiza haki yake kikatiba na watakaoamua ni Wakenya si mitandao...for your Info labda Uhuru aibe lakini kihalali kushnda ni ngumu ktk kipindi chake Kenya imeptia kwenye corruption na assasination nyingi kwa mda mfupi nazani kuliko kipindi chochote
 
8514b6a45475b72917740479570077ed.jpg
6c29d5a71a9f1767935a92daba9a8784.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Mengine haya hapa
0c78c8d24ec91885142a1fb9362c526c.jpg

Mengine haya hapa
db1628583d62840f0b6b08bddc6eec71.jpg

07c409cdcb44ef404f7e2510487af9da.jpg

Uhuru anaobgoza
90d9161cc8eafc41ce7e7e6b9cb73ac5.jpg
 
Back
Top Bottom