Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Odinga atashindwa katika jina la Yesu ,Amen .That man is not fit to rule or fit for the presidency hata kidogo.
Ni ndoto kabisa kumshinda Rais aliyepo madarakani.Mara chache sana kwa rais aliyeko madarakan kushindwa hasa kwa nchi zetu hizi za Afrika...Hii imetokea mara chache sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia nzuri ya kulinda kura yako ni kutopiga kura kabisa ili kura yako uendelee kukaa nayo.Lindeni kura
Nazan ungesema atashindwa ingetosha. ..Usilitaje jina la Bwana Mungu wako bure...pale hafanyi dhambi kugombea anatimiza haki yake kikatiba na watakaoamua ni Wakenya si mitandao...for your Info labda Uhuru aibe lakini kihalali kushnda ni ngumu ktk kipindi chake Kenya imeptia kwenye corruption na assasination nyingi kwa mda mfupi nazani kuliko kipindi chochoteOdinga atashindwa katika jina la Yesu ,Amen .That man is not fit to rule or fit for the presidency hata kidogo.
Kenya hamna LumumbaOdinga ana gundu sana kamwe hatoweza kushinda huu uchuguzi kabisa na wala sio kwamba ataibiwa kura....
Oooooh ndugu yangu umefanya kosa, ulitakiwa kutiki sehemu moja tuu. Kwa papara zako kura hiyo inahesabiwa imeharibika.Nimempa kazi mmoja na kumtimua mwenzakeView attachment 560957
Nimempa kazi mmoja na kumtimua mwenzakeView attachment 560957
Hahahahahaha.....halafu mseme mmeibiwa, afadhali hiyo kura ingekua yako nigekuenjoy sanaNimempa kazi mmoja na kumtimua mwenzakeView attachment 560957
Njaa zao zinafanya wanunuliwe kwa pesaWakenya wanajitambua sana