pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Raila ametoka kupeana confrence ya kishetwan! Jamaa anajituma kule hague yeye mwenyewe! Raila:Tumewaambia wafuasi wawe watulivu wakingoja tuwaambie watakavofanya. Mwanahabari/internat. Media:Unaamini ukiambia wafuasi wako wawe watulivu wakati umetoka kuwaambia umeibiwa uchaguzi watakuskia? Raila: Siko in control ya wafuasi wangu ndo maana na...kisha akanyamaza!