Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jubilee ni rebranded KANU,
Ni kama vile leo CCM ibadilishe Jina.
Wale wale tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kumuunga mkono mgombea urais ambaye anasema atatawala kama Magufuli, Magufuli ni dikteta asiyefuata utawala wa sheria anaamini utawala wa One man show ambao ni mfumo wa madikteta yote duniani, hivyo Wakenya hawahitaji rais jamii ya Magufuli, Kagame, Nkurunziza na Museveni maana wao wanaamini katika utawala wa kidemokrasia
HATA HAPA JF SI VIZURI KUCHOCHEA VURUGU.Hawataleta anything about vita. Thats like inciting
[emoji122] [emoji122] [emoji122]OHHHH SAWA
Halafu iyo ratio inacheza hapo hapo tu.ratio ni 54% na 44% tu, mungu anawaona
Mkuu umewahi kupitia hesabu kidogo??? Hizo ni approximations tu.. chukua idadi ya UHURU TOA YA ODINGA utapata exactly figure.. usijitoe ufahamu.. Ilianza na differnce ndogo sna as the time goes on wide gap ikaanza chanua...Toka matokeo ya urais wa uchaguzi wa Kenya unavyoendelea kupokelewa tofauti kura kati ya Raila na Uhuru Kenyattta inakuwa milioni moja na laki nne tu inakuwaje, inaweza kuwa ni mfumo wa Mitambo ya uchaguzi umeingiliwa (Hacking) kuweka tofauti ya idadi hiyo iendelee kuwepo ambapo matokeo ya mwisho yatampa ushindi Uhuru Kenyattta kwa kuwa na Kura milioni moja na laki nne.
Inaonekana na akina RAILA wezi maana wanajuaje mitambo kuhakiwa kama wao hawajahakUhuru angeachana na kuhack matokeo tu akubali kushndwa ata wananchi wakija wakauana ataanza tena kesi za ICC na sasa wamarekani wamemleta Kerry waziri wa mambo ya Nje aliyepta wa USA pale kama mwangaliz ...ukiunganisha dot za kuuwawa IT Director wa Tume ya uchaguzi kenya na hizi fujo uhuru hatakua na pakuchomokea watampin asiamn ...aombe Mungu damu isimwagike ila awamu hii yeye na Rutto hawatachomoka...tatzo walivamia Tally Centre ya NASA nairobi wakajua wanemmalizia Raila bt Raila akawaambia anazo nyingi leo wamepata majibu.... inasemekana system ya tume ya Uchaguzi ya Kenya IEBC according to IT specialist wa NASA anasema mpaka sasa Admn anayerun system ya matokeo ya IEBC si mtu wa Tume ya Urais Kenya ...Mwkt wa Tume ya IEBC anaonekana ni Admn namba mbili na pia na Marehemu Msando it's like anaonekana Amelog In which means waliomtesa na kumuua anadai watakua walimtesa mpaka akawapa password. ..time Will Tell Uhuru and Rutto Wakenya wakiuana Watawajibika...Kikuyu Cartel must allow free and fair Election