EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Screenshot_2017-08-09-20-23-29.png
 
licha ya kuwepo kwa hali ya kutupiana vijembe kwenye mitandao kati ya sisi watanzania na wakenya,watanzania tumedhihirisha ni kiasi gani tunawapenda jirani zetu.

tumedhirisha hili katika kushiriki kikamilifu kuwatakia wakenya salamu za uchaguzi mwema kupitia twitter,instagram,facebook na ma-group ya whatsapp yanayo waunganisha wakenya na watanzania pamoja.


hizi ni baadhi ya screenshot za watanzania nilizozi-capture facebook.
16e159c3addc4f565e5c64d0d3834765.jpg
c6015fa866349b0809c12a283b854a6c.jpg
9899ac40ee43164d884cc6efae20c7ca.jpg
92ee916c15e4c47eb9177828f28cbee0.jpg
94d753229201750865b9003e906635f6.jpg
49396e7c26d12925f0fc9e4c6597aa7b.jpg
2aa44ddbc8a37d26d7cd2c094ead4143.jpg
a14b3a878594b5e41bd73c6792c9fcc2.jpg
f4176b05ea8c1706c66a7ef6b41c15e7.jpg
c535fca601c97177c34eecf88eb6857b.jpg
0a0933c4328f114108c84263eba3ee31.jpg
ab0783c96e164ba1bba748ce4d78553d.jpg
a5f2b4ea4b22c688544a79385f880d05.jpg
8989f6a99f161d0f5c7bec0e2a8786b5.jpg
fa518b617ff5139538f237901842ce8b.jpg
 
bila shaka wakenya mna jambo la kujifunza toka kwetu.

sisi ni mijrani zenu wema tunaokuwa concern na shida zenu kuliko majirani zenu wote EA.
 
Huwezi kumuunga mkono mgombea urais ambaye anasema atatawala kama Magufuli, Magufuli ni dikteta asiyefuata utawala wa sheria anaamini utawala wa One man show ambao ni mfumo wa madikteta yote duniani, hivyo Wakenya hawahitaji rais jamii ya Magufuli, Kagame, Nkurunziza na Museveni maana wao wanaamini katika utawala wa kidemokrasia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka matokeo ya urais wa uchaguzi wa Kenya unavyoendelea kupokelewa tofauti kura kati ya Raila na Uhuru Kenyattta inakuwa milioni moja na laki nne tu inakuwaje, inaweza kuwa ni mfumo wa Mitambo ya uchaguzi umeingiliwa (Hacking) kuweka tofauti ya idadi hiyo iendelee kuwepo ambapo matokeo ya mwisho yatampa ushindi Uhuru Kenyattta kwa kuwa na Kura milioni moja na laki nne.
 
African democracy is a shadow, nothing really

Billions of money are used in election for nothing

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Toka matokeo ya urais wa uchaguzi wa Kenya unavyoendelea kupokelewa tofauti kura kati ya Raila na Uhuru Kenyattta inakuwa milioni moja na laki nne tu inakuwaje, inaweza kuwa ni mfumo wa Mitambo ya uchaguzi umeingiliwa (Hacking) kuweka tofauti ya idadi hiyo iendelee kuwepo ambapo matokeo ya mwisho yatampa ushindi Uhuru Kenyattta kwa kuwa na Kura milioni moja na laki nne.
Mkuu umewahi kupitia hesabu kidogo??? Hizo ni approximations tu.. chukua idadi ya UHURU TOA YA ODINGA utapata exactly figure.. usijitoe ufahamu.. Ilianza na differnce ndogo sna as the time goes on wide gap ikaanza chanua...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru angeachana na kuhack matokeo tu akubali kushndwa ata wananchi wakija wakauana ataanza tena kesi za ICC na sasa wamarekani wamemleta Kerry waziri wa mambo ya Nje aliyepta wa USA pale kama mwangaliz ...ukiunganisha dot za kuuwawa IT Director wa Tume ya uchaguzi kenya na hizi fujo uhuru hatakua na pakuchomokea watampin asiamn ...aombe Mungu damu isimwagike ila awamu hii yeye na Rutto hawatachomoka...tatzo walivamia Tally Centre ya NASA nairobi wakajua wanemmalizia Raila bt Raila akawaambia anazo nyingi leo wamepata majibu.... inasemekana system ya tume ya Uchaguzi ya Kenya IEBC according to IT specialist wa NASA anasema mpaka sasa Admn anayerun system ya matokeo ya IEBC si mtu wa Tume ya Urais Kenya ...Mwkt wa Tume ya IEBC anaonekana ni Admn namba mbili na pia na Marehemu Msando it's like anaonekana Amelog In which means waliomtesa na kumuua anadai watakua walimtesa mpaka akawapa password. ..time Will Tell Uhuru and Rutto Wakenya wakiuana Watawajibika...Kikuyu Cartel must allow free and fair Election
Inaonekana na akina RAILA wezi maana wanajuaje mitambo kuhakiwa kama wao hawajahak

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom