Jerhy, mbona kila post uliyoweka hapa umei-edit? Hiyo haiashirii kwamba huna uhakika na jambo uliloleta humu? Ni kazi yako au wewe ni dalali kiasi kwamba hadi uulize kwa mwenyewe then urudi ku-edit maelezo yako ya mwanzo?
Jerhy, mbona kila post uliyoweka hapa umei-edit? Hiyo haiashirii kwamba huna uhakika na jambo uliloleta humu? Ni kazi yako au wewe ni dalali kiasi kwamba hadi uulize kwa mwenyewe then urudi ku-edit maelezo yako ya mwanzo?
Mi nataka mtu wa kuniwekea vipimo kwenye mchoro.gharama zenu zikoje kwa nyumba ya vyumba vitatu ikiwa ni vyumba 2 na masterbed room moja?na 2 toilet?
Then mnapatikana wapi kwa hapa dar?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.