Experience yangu JF katika kutafuta huba la moyo wangu 😘😘😘

So what are you suggest ??
 
@the bold ndio anamiliki jimbo?,hongera sana kuna wakati nilisoma nyuzi humu mlivyoanza mahusiano[emoji23]
 
We binti bana..... Punguza hizi tantarira sababu tukisema na akina siye tuanze kuyasema tuliyojionea kwenu wadada mbona mtaleft jf?

Unakumbuka tulikuwa tunatumiana mpaka picha za uchi?
Ni kweli eh dudu yako ndio ilikuwa imepauka kisa kuvaa sana kinga🀣🀣🀣 jokes usiletee masiara na mimi nimepinda ila sasa tofauti yangu ya zamani na sasa na mshukuru Mungu na mambo mengi ya kuwaza nakushauri fungua uzi experience yako ilikuwaje
 
"Nilikutana nae 2014, tukapendana, nikazingua, nikaomba msamaha, anakisamehe, mwanaume bora kuliko wote"

Nifah ebu siku fanya mpango utupe hio story nzima maana kila siku unatupa introduction tuu alaf unarudi maneno yaleyale.

Waingereza husema;
"PUT UP OR SHUT UP"
(Jokes)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…