Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Tukalale ushachoka kukaa hapa πππChuma, jembe[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukalale ushachoka kukaa hapa πππChuma, jembe[emoji23]
Kupigwa tena!? Hivi bado wapo wanaume wanaopiga wanawake?!Napenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa[emoji16]
Ndioo
WapoKupigwa tena!? Hivi bado wapo wanaume wanaopiga wanawake?!
MambooFungua Moyo But be carefully lakini Ruhusu Moyo upende Ruhusu Upendo!
Na cha kwanza Ukitaka Uyapende maisha ya ndoa Kubali kwanza kuwa Rafiki kwa mtu unayeplan kuolewa naye...Kabla hujawa mchumba au mpenzi wake..
Vinginevyo utaona Ndoa chungy
Anazingua anakubania mkuuπ€£π€£π€£ au hatutakiMaua mpka sasa amefunga inbox yake mnataka nifanyaje bandugu?,
Bossy umenena ni kweli kabisaKutafuta mwenza mtandaoni siyo jambo jema.
Vuta subira umpate huko kitaa na mazingira unayopatikana
Acha kivunga utakufa na elninoπ€£π€£π€£π€£ si kwel
Hivo an mkuuπ€£π€£π¨Noma mkuu, inabidi tukatae ndoa tuππ
Acha utani anakupenda shauri yako kaka ni wadamuWe huyo wako maua π€£π€£π€£
Me kaka angu huyo! Mkubali uwe wifi yangu
Bora umwambie tu, au tuendeleze kampeni zetu za kataa ndoaWe huyo wako maua π€£π€£π€£
Me kaka angu huyo! Mkubali uwe wifi yangu
Unataka mchaga aniloge sioπ€£π€£Acha kivunga utakufa na elnino
Wewe usiruke ruke mkubali kaka angu,Acha utani anakupenda shauri yako kaka ni wadamu
Wewe huyo anakupenda sema anazuga tyuu!!Bora umwambie tu, au tuendeleze kampeni zetu za kataa ndoa
Nilitaka kujua hilo! Sasa umenifunuliaMimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Siwezi achilia hii imeenda asee.Wewe huyo anakupenda sema anazuga tyuu!!
Shikilia hapo hapo bro πππ