Experience yangu JF katika kutafuta huba la moyo wangu 😘😘😘

Experience yangu JF katika kutafuta huba la moyo wangu 😘😘😘

Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.

Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Nilitaka kujua hilo! Sasa umenifunulia
 
Back
Top Bottom