min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kwamba mimi sio huziband matirio🙄🙄Mhmm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mimi sio huziband matirio🙄🙄Mhmm
Pole!Wajanja wa mji hoyee,
Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, .
Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo .
Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa.
Wakaendelea kuja wengi tu ila nikuchart inbox pekee au wtsupp.
Walitokea watu kadhaa ila kila anayekuja anakisanga chake.
Kuna wanaoomba vocha , hela ya kula na mengine mengi . Ikiwemo umfanyie mtu shopping za hapa na pale . Mtu unamwambua sina pesa nashida ila u akuta hawajali wanasema tu naomba hili au lile Ili hali na waeleza mie natafuta kazi . Maisha yaliendelea mpaka 2021 nikapata mlokole nilimshukuru Mungu kweli kwa yote . Eti kuna alilonionekania sasa mie nilijiona wapekee kumbe nipo kichakani na gizani.
Jingine ni hili eti mtu ukiongea naye mchana ijioni unaota , upo kwenye kanisa la ajabu , . Lakilokole kuna kwaya mimbara na waumini sasa nikaona mie ndio kama sadaka .
Mwanzo nilidhani ndoto ila nilipowashirikisha marafiki wakanitatulia natukaja jua kuwa huyu kaka ni freemanson tokea ni mgundue akawa anavisa sana . Hataki niwe naye tena . Ikawa ndio kwisha.
Mwingine alimdanganya hadi bi mkubwa kuwa atakuja nyumbani kuongea naye kuhusu sisi kuishi pamoja . Alikuwa jamaa liongo hilo mpaka nikamzoea nilifiti nilimbwa. Aliniabisha kweli nilimpenda naye ila huyo hakujua anachart na unique flower . Ndio ilipotimia 2022 ndio nikaona mmh nikajaribu nje.
Ya hapa. Ila humu sasa kuna watu wanaojiona wanaweza sasa kuweza kwenyewe
Kuharibia watu humu . Ili wasisaidiwe hawajui hatunashida na misaada mimi sio mpalestina na mshukuru Mungu kwa yote . Anayenipa uhai na ananipenda. Hii inatosha
Unataka dadangu aolewe na huyo kilaza🤒chuga hatunaga chawa kama huyoBaba mtumishi muoe Maua [emoji120]
Kwamba mimi sio huziband matirio[emoji849][emoji849]
Hapo unanizungumzia mimi hapaNapenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa😁
BannologyWalete warumi hao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka dadangu aolewe na huyo kilaza[emoji855]chuga hatunaga chawa kama huyo
Najiona ni mume wa mtu kabisa , tena yesu kanionyesha yumo humuhumu.[emoji12] sasa wewe ni huziband matirio?!!
Bannology
Najiona ni mume wa mtu kabisa , tena yesu kanionyesha yumo humuhumu.
Yesuuuuu, sipo hivyo mimi , ata bado sijamjua mke( bikra)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Thubutuuuuu!!!
Wewe sema unataka kumchezea dada wa watu humu
Poa kabisa habari ya mchana.Safi tu mkuu..habari yako
Ushaiona afu unazuga hapa! Sema nae gigy anajua kuiweka vzr🤔 wahuni wanafaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha mambo mengi bas, nasubiria warumi wa bongo
Niwaone wanyaki wawili nasikia wamekiwasha humo [emoji23][emoji23][emoji23]
Yesuuuuu, sipo hivyo mimi , ata bado sijamjua mke( bikra)
Ushaiona afu unazuga hapa! Sema nae gigy anajua kuiweka vzr[emoji848] wahuni wanafaidi
[emoji1787][emoji1787]Hapo unanizungumzia mimi hapa
Yani ulivyoguna nmejisikia vibya ina maana humu kuna watu wananionaga kuwa nina tabia mbaya🤔🤔🤔🤔Sawa kaka bikra [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
God bless you
Hahahahaha the sentence should be be “bold” 🤪🤪🤪🤪Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Umefanikiwa au bado unataftaWajanja wa mji hoyee,
Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, .
Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo .
Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa.
Wakaendelea kuja wengi tu ila nikuchart inbox pekee au wtsupp.
Walitokea watu kadhaa ila kila anayekuja anakisanga chake.
Kuna wanaoomba vocha , hela ya kula na mengine mengi . Ikiwemo umfanyie mtu shopping za hapa na pale . Mtu unamwambua sina pesa nashida ila u akuta hawajali wanasema tu naomba hili au lile Ili hali na waeleza mie natafuta kazi . Maisha yaliendelea mpaka 2021 nikapata mlokole nilimshukuru Mungu kweli kwa yote . Eti kuna alilonionekania sasa mie nilijiona wapekee kumbe nipo kichakani na gizani.
Jingine ni hili eti mtu ukiongea naye mchana ijioni unaota , upo kwenye kanisa la ajabu , . Lakilokole kuna kwaya mimbara na waumini sasa nikaona mie ndio kama sadaka .
Mwanzo nilidhani ndoto ila nilipowashirikisha marafiki wakanitatulia natukaja jua kuwa huyu kaka ni freemanson tokea ni mgundue akawa anavisa sana . Hataki niwe naye tena . Ikawa ndio kwisha.
Mwingine alimdanganya hadi bi mkubwa kuwa atakuja nyumbani kuongea naye kuhusu sisi kuishi pamoja . Alikuwa jamaa liongo hilo mpaka nikamzoea nilifiti nilimbwa. Aliniabisha kweli nilimpenda naye ila huyo hakujua anachart na unique flower . Ndio ilipotimia 2022 ndio nikaona mmh nikajaribu nje.
Ya hapa. Ila humu sasa kuna watu wanaojiona wanaweza sasa kuweza kwenyewe
Kuharibia watu humu . Ili wasisaidiwe hawajui hatunashida na misaada mimi sio mpalestina na mshukuru Mungu kwa yote . Anayenipa uhai na ananipenda. Hii inatosha