Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UongoAkina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
Na ladha zao zinakuajeAkina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
Akimkosa aende kwa Flora Mbasha🤣🤣🤣🤣
Mfuate Flora Lawuo, a.k.a Flora saloon
Hata huyo Flora wa Kariakoo ni Kauzu huyoooNje kidogo ya mada,
Naskia wanawake wenye majina ya 'F' ni heartbreakers, wanaogopeka.(naskia)
Unajua kitu wana saikolojia wanaita confirmation bias? Ndicho kilichokufanya ufikie hii conclusion. Ndiyo maana wataalam wanasema no reserch, no right to talk. Kwa kifupi confirmation bias ni hali ya kufikia hitimisho kwa kutumia imani ambayo tayari ulikuwa nayo, na hii inatokea bila wewe kujua. Na ziko za aina nyingi. Ukitaka kujua zaidi ingia kwenye hii link usomeBelieve me! Hakunaga Flora fala fala.
Uko sahihi sanaAkina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
Duuu!! Aisee hii mada mbona inamhusu mke wangu?
Mke wangu anaitwa flora alafu ni mpambanaji kwelikweli biashara zangu zote nimempa mamlaka ya kisimamia na anajua jinsi ya kupambana na wauzaji pamoja kusimamia oda zote za maduka ikiwemo kusave data zote za mizigo...
LIKUD utakuwa nabii nini
Hahahaha 😂😂😂 pamoja mkuuWacha nikupe namba utoe ya kujimaliza🤣🤣🤣
Akina Flora wapo smart sana. Usimuache huyo . Utafanikiwa sana ukiwa nae.
Sema napokea