Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Kuna mmoja namfahamu kuna biashara tulifanya za hela nyingi, anafyatua nyumba na kuuza,ana nyumba kibaoBelieve me! Hakunaga Flora fala fala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja namfahamu kuna biashara tulifanya za hela nyingi, anafyatua nyumba na kuuza,ana nyumba kibaoBelieve me! Hakunaga Flora fala fala.
Flora Mvungi wa H BabaAkina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
nilijua tu🤣Depal samaleko
upuuzwe 🤣🤣Nje kidogo ya mada,
Naskia wanawake wenye majina ya 'F' ni heartbreakers, wanaogopeka.(naskia)
Sio maneno yangu, ni maneno ya kijana mshamba_hachekwiMnanitafuta
Yan mnanitafuta sana 🤣🤣🤣
Mtoto jau sana huyo..Sio maneno yangu, ni maneno ya kijana mshamba_hachekwi
kwani ni wote jamani🤣upuuzwe 🤣🤣
😂😂 we mbona pale hujadadavua? Yan ni kama wote ni heartbreakerskwani ni wote jamani🤣
ni uongo? 'F' sio vitunguu?😂😂 we mbona pale hujadadavua? Yan ni kama wote ni heartbreakers
Sio vitunguu 🤣 labda F wa kiume, wakiwa sambamba na Jni uongo? 'F' sio vitunguu?
Alafu kweli ujue my [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio vitunguu [emoji1787] labda F wa kiume, wakiwa sambamba na J
Haha kweli ipi myn? Ya F na J wa kiume ehee?Alafu kweli ujue my [emoji1787][emoji1787][emoji1787]