Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute unamzungumzia huyu nnaemuwazia na mie.Sema ma Flora wengi huwa makauzu[emoji41]
Aiseee mm na wewe tuna bahati SanaDuuu!! Aisee hii mada mbona inamhusu mke wangu?
Mke wangu anaitwa flora alafu ni mpambanaji kwelikweli biashara zangu zote nimempa mamlaka ya kisimamia na anajua jinsi ya kupambana na wauzaji pamoja kusimamia oda zote za maduka ikiwemo kusave data zote za mizigo...
LIKUD utakuwa nabii nini
Mm MKE wangu anaitwa Flora Nina mdogo wangu wa mama mdogo Naye Flora Kwa Hawa wawili Sina shaka na Alichosema Flora and Fauna Kwenye biologyFlora wote ninaowajua wamefanikiwa ktk maisha, na hizo sifa tajwa wanazooo.
[emoji3581]
Ilankuna flora wengine wawili ni mapausa kichwa kweliMm MKE wangu anaitwa Flora Nina mdogo wangu wa mama mdogo Naye Flora Kwa Hawa wawili Sina shaka na Alichosema Flora and Fauna Kwenye biology
Sema wengi huwa wana manyonyo balaaAkina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.
Ndoa ilimshinda huyo akawa analiwa na nabii sijui askofu na mtume mmoja maarufu mjini 😂😂Hivi Flora Mbasha yupo wapi!?
Kwa kuwa huwa wamejaaliwa nyonyo basi hata utamu NI watamu , kwa uzoefu wanawake wenye nyonyo kubwa wengi huwa NI watamu na wana vibe la kufa MTU katika lile Jambo la mgehedano 😂😂 tofauti na hawa wenye vinyonyo vidogo vidogo.Vipi kwenye mapenzi, wapoje hawa akina Frola?!
JHaha kweli ipi myn? Ya F na J wa kiume ehee?
🤣🤣🤣🤣Ukute unamzungumzia huyu nnaemuwazia na mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha Flora mmoja malaya kweli kweli hapo Jijini Mwanza sema nini nimekubali naye anapambanaAkina Flora wengi wanakuwaga wapiganaji sana kwenye maisha.
Wengi wanakuwaga smart sana kwenye mapambano ya maisha.
Na wengi wao huwa wanafanikiwa sana kiuchumi.
Sijawahi kumfahamu mwanamke anae itwa Flora ambae sio mpiganaji kwenye maisha.