Nimekuwa nikitumia superkasi kwa muda na nilijaribu ile ya airtel japo performance zilikuwa poa ila nilikuwa nikipata shida ya latency kuwa kubwa maana mainly shughuli zangu zina involve calls za zoom and google meet.
so recently tigo wamesambaza fiber yao mpaka huku bunju nikaamua na mimi nijaribu.
Nikalipia kifurushi cha 70,000 amapo wanakuletea rooter ambayo ina ethernet ports 5 na inatoa wi-fi. Hiki kifurushi cha 70,000 ni cha 10mbs.
Kwa sasa huduma yao iko faster nilipolipa kusurvey hadi kufunga ni ndani ya siku tano.
kwa sasa naweza kusema naona value for money maana mimi speed ya mb 10 inanitosha kwa streaming downloading na kusurf kwa computer 2 na simu nyumbani. Ping yao kwa sababu ni fiber ni ya chini sana na speed kwa kiasi kikubwa ni stable.
Hadi sasa siku ya 3 sijapata changamoto yoyote na ni beyond my expectation.
so recently tigo wamesambaza fiber yao mpaka huku bunju nikaamua na mimi nijaribu.
Nikalipia kifurushi cha 70,000 amapo wanakuletea rooter ambayo ina ethernet ports 5 na inatoa wi-fi. Hiki kifurushi cha 70,000 ni cha 10mbs.
Kwa sasa huduma yao iko faster nilipolipa kusurvey hadi kufunga ni ndani ya siku tano.
kwa sasa naweza kusema naona value for money maana mimi speed ya mb 10 inanitosha kwa streaming downloading na kusurf kwa computer 2 na simu nyumbani. Ping yao kwa sababu ni fiber ni ya chini sana na speed kwa kiasi kikubwa ni stable.
Hadi sasa siku ya 3 sijapata changamoto yoyote na ni beyond my expectation.