thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
Ni Laini ya m2m, ni unlimited kwenye spidi ya kudownload, spidi ya ku-upload kuna nyakati inakuwa Chini Sana Kwa kiwango cha 2mbps kuanzia mchana spidi na yenyewe inaongezeka, hii ni Kasi ninayoipata Kwa wawakati huuMkuu hiyo 50K ya Halotel ni fibre au Wifi(Router) na speed ikoje.
Na nimeshadownload Zaid ya GB 80