Stupid as usual. Tanzania tulipozua ndege zetu kwenda South Africa kwasababu kuna fujo, kwanini hukutumia hiyo reasoning yako kuwa " challenge"?. DRC kuna outbreak ya Ebola, wageni wanashauriwa kutokwenda DRC, kwani nchi nzima ya DRC imekumbwa na EBOLA?.
Wewe umetoa uzoefu wako kutoka eneo unaloishi, hiyo haina maana kwamba Kenya nzima ipo hivyo, na Mimi nimetoa maoni yangu kutokana na uzoefu wangu nilipotembelea Kenya, vipi unakataa nisitoe uzoefu wangu eti kwasababu sikai mpakani.
Wewe weka link inayopnyesha unakaa mpakani na unafanya biashara miaka mingi na Kenya na hakuna tatizo lolote. Watu wa aina yako ni wale wanaodhani dunia nzima inamzunguka yeye, kwamba uzoefu wake ndio kila kitu hakuna zaidi yake, kama yeye ni masikini, basi watu wote ni masikini, stupid.
Naona una run circles na hoja za deductions!
Kwahiyo umeona ndege uchwara za TZ walipojifanya eti hawaendi SA sababu kuna Xenophobia ni sababu za kweli?
Ile ni gagari and everybody knows tatizo lao ni nini!Ni deni lao na mkulima angeweza weka injunction akachukua tena ndege!
Na believe me,hakuna tena ndege ya TZ itakatiza SA forever mpaka walimpe mkulima kwanza.Hatari ya seizure ni eminent!
Unakataa hapa unatuletea maneno ya hovyo ya wanasiasa wa CCM as if ni reasons za kweli!
Mtanzania muongo ndio yupo kama wewe.
Umeambiwa uweke link ya claims zako,then unageuka kinyume unamuuliza huyo huyo aliekuuliza aweke evidence eti anakaa mpakani,nikutumie geolocation au title deed ya shamba letu au nini hasa?
Badala ujibu ulichoulizwa ukimaliza ndio uulize swali lako,wewe unauliza swali kwa swali tena la hovyo!
Swali lako ni la hovyo sababu tangu lini mtu anaweka evidence ya link kudhibitisha anapokaa?Link ya web page?Tangu lini ndugu yangu?
Idadi ya vifo ya Watanzania watatu au zaidi ni lazima iwe news,niwekee link,kama huna sema sina sio una counter kwa maswali ya hovyo badala ya kujibu kwanza!
Sema hivi,sina jibu wala links za hizo news za vifo!Utaeleweka bila shida!
Nani kakwambia DRC watu hawaendi?
Watu wanaenda DRC kama kawaida na SA watu wanaenda kama kawaida na Mtanzania SA hahitaji visa hata hilo hukijui!
Uzoefu wako unaotoa nina wasiwasi unadanganya!
Kwa stori ya mauaji ni lazima ingekua news,Kenya kuna journalism sio kama huku kwetu!
Na unaposema eti mpakani kwangu mimi sio Kenya yote ni sawa,ila pia ni Kenya sio Somalia au pengine!
Na pia wewe experience yako sijaikataa.Ninachotaka kwa nature ya unacho claim ni news worthy,tupe link kama unayo!
Watu watatu ni wengi possibly ni kazima kungekua na news somewhere,tupe link kama huna ni sawa pia!
Kama huna evidence ni sawa tuta judge wenyewe vichwani mwetu kama unachosema ni kweli au sio kweli huna haja ya kupaniki!
Unapaniki kiasi kwamba unataka niweke eti evidence natoka mpakani au eti naijua Kenya!
What type of evidence unayotaka?Eti web page link,nigga be serious!