nikikuambia kwa hapa, wanga wengi.
Kwanza hebu nipe angalizo. Una kadalili kokote ka kunipenda au japo ka kunitamani kwa mbali?
Humbled.Mom Fay Nakupenda sana Mke Mwenzangu,Mimi bila wewe siwezi kumwendesha mume wetu,Hakika tutapendana daima na kumjali mume wetu
Ennie ure my real and True Queen Nakupenda saaanaa
mimime Ure my QIUT Queen ,
Bantu lady hakika wewe ni ......wangu utake usitake nakupenda saaanaaa much respect
NAMTUMBA darling, ure my soul,heartbeat,colget and pafyum....
Tuko Nakupenda sana japo unamke Jawilat ...daima nitabaki mchepuko..hahhahah
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!
mmmmmmmwaaaaaah! Bestito!! barikiwa sana!! Wapi queen miss neddy na king Excel
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!
Uuuuuwi babu utapotezwa kama ndege ya Malaysia
Kukutaman wala kukupenda ctoweza kwa maana mishipa na fahamu zake cijui zipo wapi
unauliza bila kuni cc...........hutapata jibu abadan kataan...
HAHAHHAH....'' Morg understands, you coulda had class. You coulda been a contender. you coulda been somebody,....... let's face it. You ware just NOT PRIVILEGED TO HAVE Vin Diesel''
hahahaha asije akapinduliwa my shostito lol
Mimi nipo na vin diesel chama la kijani na njano! Nitoke ccm nimuache Vindiesel thubutuuuuu! Havui mtu gamba! Lol!
Ankal Kaizer ujue nakumiss eeeh... Babu Asprin nakupenda babu yangu, ila kuwa na subira, Mzee Mtambuzi hata mama ngina anajua nakupendaga, Jerrymsigwa shem langu la ukwenhe ushem haufi miaka mia.... Kaka zangu Excel, platozoom, Mwita Maranya niwahanchere!!
Naexpress my love moja kwa moja Kwa barafu, laaziz, honey, sweet, baby, furaha ya moyo wangu kwa my wife Heaven on Earth. mia