Inauma sana kila nikichukua mke wanapora halafu mimi ndiyo nakuwa mchepuko wake, si bora niingie ktk team tu. Mkuu mwekundu naomba form.
Lakini mi nakupenda tu still ujue...love u sanaaaaaa
Naomba nianze na wewe
Sijui nikuambie mke wako ni mchepuko wa nani???
mimi nimejaa telenilikuwa fyatanga jumamosi, nikampigia Asprin, asijifanya hanijui! mfyuuuuuuuuuuu, gfsonwin tunaonana lini tule bata?? miss u mah! tumuite na Fixed Point, nimemmiss pia!
Acha hiyo tabia ndoa yangu itakuwa ya mwisho kuvunjika humu babu Asprin.
hahahahah we afadhali umetajwa tajwa bhanaa Babu ila km hujaona KARIBU.
Anzia hapa hapa mweeh teh teh
nilikuwa fyatanga jumamosi, nikampigia Asprin, asijifanya hanijui! mfyuuuuuuuuuuu, gfsonwin tunaonana lini tule bata?? miss u mah! tumuite na Fixed Point, nimemmiss pia!
Nakupenda sana asali wangu wa moyo Bantu lady!
Heaven on Earth dumela?whats up Rogie
Penda wewe sana pia, ndio moyo wangu na kwako nimefika, nimejikabidhi kila kitu.