Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Inauma sana kila nikichukua mke wanapora halafu mimi ndiyo nakuwa mchepuko wake, si bora niingie ktk team tu. Mkuu mwekundu naomba form.

nimeshakutumia PM i wok on this ,usajili wako tutaumaliza leo hii,nahisi hata ada hutahitajika kuitoa all in all come to bazazis if u want to relax
 
hahahahah we afadhali umetajwa tajwa bhanaa Babu ila km hujaona KARIBU.
Anzia hapa hapa mweeh teh teh

Nakupenda sana annito, wewe ndo chaguo la moyo wangu. kuanzia leo wewe ndio chaguo langu. hebu twende PM tukaweke mambo sawa....
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu nimesikia anataja jina la my Tuko
 
Last edited by a moderator:
Huyu mwingine naye anaexpress love yake kwa moderators?
 
Back
Top Bottom