OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Hahaahaha naona umeamua kusema na lugha kabisaaa.....mie sijambo vipi na wewe
Kheir mama nipo tu ,eeenh bila lugha usingekuja hapa!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahaha naona umeamua kusema na lugha kabisaaa.....mie sijambo vipi na wewe
asante sana mkuu Ruttashobolwa kwa kusambaza upendo kwangu nami ngoja nisambaze kwa wafuatao
naanza na wewe mwenyewe, Daudi1, uran na mkewe Valentina, Evelyn Salt, kiwatengu, Rich Pol Mentor, Mzizi Mkavu, Mtambuzi, Arushaone, Window7, Mamndenyi, watu8, The Boss. naona list haiishi
nitaendelea siku nyingine
Cheka my dada mi na wewe tenaaa! !!!!!
Yaani nyie aseee. ..ngoja nikomee hapa!!!!
haa we mtoto upo? nlikuwa sijagundua kabisa aisee, unajua mie huwa nawajua watu kutokana na avatar zao ukibadili nakuwa sikufahamu kabisa aisee
subiri kwanza nilale ndo uanze hizi mambo
Yani we mwanamke huyo mume uliempata mwambie alegeze kidogo bana. Mie nipo sana mpendwa wangu
Kaka Kaizer sijui katimkia wapi yuke mtu!!!!Mkuu OLESAIDIMU yule jamaa wa macheni umemwona...?
Kuna foleni naomba tuchepuke.
Mbona jana umeniacha solemba?maana njia kuu ilikuwa ina foleni kubwa sana
Kama ni mutual love...I love ALL JF MEMBERS jamani...!!!!
mchepuko sio dili
Kumbuka mume wako mpenzi ni mchepuko wa mwenzio.
Pole sana nilighafrika naomba unisamehe.