Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

hapana mkuu,kwanza hakuna demu hata mmoja bali wanaume watupu ndio wanao lifanya jukwaa la KF kuwa active.ningefurahi kama na watoto wa kike nao wawe wanachangia.tupo KF kupangua uzushi,majigambo na mbwembwe za wakenya dhidi ya watz.muulize lawmaina78 atakwambia huwa tunawafanya nini wanapo kuja na mbwembwe zao.CC Kimweri Geza Ulole and Bulldog

back to the topic :umesema umesha mjua?!!!....kama umemjua iwe siri yako mkuu.usije ukamwaga mtama kwenye kuku wengi,au akazidisha mapozi kwangu.si unajua kidemu cha kibongo kikishajua umekipenda kinazidisha mashauzi kukukomoa.

Ha ha ha haaaah!!! Sawa mkuu simwagi mchele kwenye kuku wengi.............ngoja nami nifanye mpango niitembelee hiyo Kenya forum.
 
hahhahahhahha.........lol!!!

usjali sana love u mingi sana wangu, ngoja nitafute muda nikusake tukamsalimie cacico
nilikuwa fyatanga jumamosi, nikampigia Asprin, asijifanya hanijui! mfyuuuuuuuuuuu, gfsonwin tunaonana lini tule bata?? miss u mah! tumuite na Fixed Point, nimemmiss pia!
 
Last edited by a moderator:
uu hu hu huuu thanks jaman u made my day i love uuuu annito!!

thanks mahondaw, wwwuuuhhhh roho imetakata sasa, neno kupendwa linafariji jamani hata likitoka kwa mama yako mweehh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom