Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Napenda namna CDM wanavyopasuana, its good for democracy. CCM hawawezi hivi hata kidogo, labda kuwekeana šūmû na kumalizana kimya kimya.
Hamna demokrasia hapo zaidi ya kuchafuana kwa wapiga kura.
 
Mwamba kaamua kupoteza muda tu. Sidhani kama anaweza kua na jambo la maana la kuongea. Na trust me hatavuta attention ya watu. Ni bad and wrong timing ya press... to prove that, tutaona humu humu kwa hii post, responses na reactions za watu..
But at least tujue nani ni nani. Hao wote walikimbia nchi wakamuacha Mbowe!
 
Wakuu

Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.

Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje

"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana."

"Nianze kwa kusema hivi, ni kweli mimi nilikuwa timu Tundu Lissu na kwanini nilitoka, mnakumbuka mimi nilikimbia nchi, Lema alikimbia nchi na hata Lissu alikimbia nchi, experience ya kukimbia nchi yako sio kitu kidogo kwamba unaenda kwenye nchi ambayo hujuia mila na destuli zao, una ancha ndugu na na marafiki zako, sio experience ndogo"

"Sasa tukiwa huko mambo yakaenda mengi mpaka Mwenyekiti Freeman Mbowe akakamatwa na kwenda gerezani, Mwenyekiti akiwa gerezani mwaka 2022, akiwa gerezani marafiki zangu hawa wakashauriana waanzishe kitu kinaitwa Join the Chain na Mwenyekiti aliyeasisi hiyo movement ni rafiki yangu Godbless Lema na Join the Chain lengo lake ilikuwa ikusanywe fedha liitishwe Baraza Kuu, na mwisho wake Mkutano Mkuu lengo kubwa la vikao tulivyofanya kwasababu waliamini kabisa kwamba Freeman Mbowe ana kesi ya Ugaidi, waliamini kabisa kwamba Mbowe hawezi kutoka gerezani"

Huu ndio uongo mkubwa sasa Kama wao pia walikua wamekimbia nchi wangepinduaje??? Lakini pia kama Vikao vyenu halali vingeazimia kumtoa Aikael Nkurunzinza Kagame Ayatola Mbowe shida ilikua wapi??

Nyie mkipewa nchi mnatumaliza bora ccm itawale miaka mingine 50 wajinga sana nyie kwanza kila mtu anaita press nyie watu gani hamna adabu...Taasisi gani haina msemaji ??&Hovyo
 
Hizi pesa Abdul anapata nini kutoka Chadema mpaka atowe pesa zote hizi?
Hivi huwa mnadhani kila mtu hana akili ya kufikiri?

Lile kontena lilijaa kura feki Tunduma kama alivyotuaminisha Dr Slaa wakati wa Kikwete liko wapi?

Tutashitakiwa MIGA.
Hujui anapata nini? Hujui kulala kwa Chadema na raha ya Samia kutawala kwa raha huku wao kina Abdul wakiendelea kupiga mahela ya watanzania bila hofu ya kuwa exposed?
 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Wakuu

Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.

Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje

"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana."

"Nianze kwa kusema hivi, ni kweli mimi nilikuwa timu Tundu Lissu na kwanini nilitoka, mnakumbuka mimi nilikimbia nchi, Lema alikimbia nchi na hata Lissu alikimbia nchi, experience ya kukimbia nchi yako sio kitu kidogo kwamba unaenda kwenye nchi ambayo hujuia mila na destuli zao, una ancha ndugu na na marafiki zako, sio experience ndogo"

"Sasa tukiwa huko mambo yakaenda mengi mpaka Mwenyekiti Freeman Mbowe akakamatwa na kwenda gerezani, Mwenyekiti akiwa gerezani mwaka 2022, akiwa gerezani marafiki zangu hawa wakashauriana waanzishe kitu kinaitwa Join the Chain na Mwenyekiti aliyeasisi hiyo movement ni rafiki yangu Godbless Lema na Join the Chain lengo lake ilikuwa ikusanywe fedha liitishwe Baraza Kuu, na mwisho wake Mkutano Mkuu lengo kubwa la vikao tulivyofanya kwasababu waliamini kabisa kwamba Freeman Mbowe ana kesi ya Ugaidi, waliamini kabisa kwamba Mbowe hawezi kutoka gerezani"

Poor statement
 
Embh jamani atakama tunataka mabadiriko kweli ndio kwa namna hii kweli kuwapa watu hawa nchi watu ambao ya kwao tu hawaezi kuficha
 
Mbona hamna jipya hapo, haya si mlishatuandikia humu!!! Au ilikuwa ni script imeandaliwa, mkawa mnaikariri kwanza!!!
 
Back
Top Bottom